Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Hizo tabiri zilianza hata kabla hatujacheza raundi ya awali dhidi ya wanaijeria PlateauHeri mngebaki vilevile na saikolojia za ki underdog kama mshaanza kujiona mmefuzu yatakua mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo tabiri zilianza hata kabla hatujacheza raundi ya awali dhidi ya wanaijeria PlateauHeri mngebaki vilevile na saikolojia za ki underdog kama mshaanza kujiona mmefuzu yatakua mengine
Kwa kweli kuongoza kundi kulikofanywa na Simba kumelazimisha utaratibu kuvurugika kabisa maana vigogo vinalazimika kukutana mapemaAl Ahly tumewaweka pabaya sana wamemaind umafia uliofanywa na Simba
Nyie mlikwishatokaNaomba sana tusikutane na kaizer chief
Fikiria Simba Sc ingemaliza kwenye nafasi ya pili, alafu ikapewa Mamelod [emoji23]Al Ahly tumewaweka pabaya sana wamemaind umafia uliofanywa na Simba
Ni perception tu, labda kwa kufuata mkumbo. Mamelodi anaweza akawa ni mwepesi kuliko Al ahlyFikiria Simba Sc ingemaliza kwenye nafasi ya pili, alafu ikapewa Mamelod [emoji23]
Hapana, imechezeshwa draw ya Semi finals, tukipita tutakutana na mshindi kati ya MC Alger vs Wydad Casablanca
Unawazm wwNi perception tu, labda kwa kufuata mkumbo. Mamelodi anaweza akawa ni mwepesi kuliko Al ahly
Hii naona ikitokeaSimba nusu fainali vs Wydad
Simba fainali vs Esperance
Esperance bingwa
Al Ahl na AS Vita wana speed lakini walikaa kwa kutuliaKaizer chiefs siyo timu mbovu hasa ukizingatia wanacheza kwa speed sana.
Na hatimae wametupata mkuuWao Kaizer wanatutaka sana sisi
Well saidAl Ahl na AS Vita wana speed lakini walikaa kwa kutulia
Simba inapita kwenye njia nyepesi sana. Uwezekano wa kutinga hadi Fainali ni mkubwa.Washabiki wa Simba tumeshajipa uhakika wa kuvuka robo.
Tusije kushangazwa tu.