OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Fainali Simba Vs Sundown, watatutoa kwa tabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Kati ya Wydad na Esperance, kwa maoni yako ipi ni team hatari zaidi?KINGEUMANA LAKINI SASA MPAKA FINAL MANA HATA ESPERANCE TUMEMKWEPA
Mpira ni kitu cha ajabu sana [emoji3][emoji3][emoji3]Kaizer chief mashabiki wao wameanza kushangilia maana siku zote dua yao ilikua wanataka kukutana na Simba.
Leo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu na wapenda kandanda Africa baada ya kuisha hatua ya Makundi ya michuano ya klabu bingwa Africa na Kombe la shirikisho Africa
Kuelekea kupangwa kwa droo ya robo fainali kaa nami upate live updates ujue nani kakutana na nani na mechi zitachezwa kuanzia lini
Ikumbukwe mwakilishi pekee wa Africa mashariki na kati Simba SC atakutana na kati ya Kaizer Chiefs,CB Belouizdad na Mc Alger quorter
=======
MC Alger VS Wydad AC
Kaizer Chiefs Vs Simba SC
CR Belouizdad Vs ES Tunis
Al Ahly SC Vs Mamelodi Sundowns
View attachment 1769245
Babra anafanya mipango ije kwa mkapa....FAINAL uwanja gani.. tukate tiketi mapema
Ilikua mechi ganiAbdoulaye Traore alipigwa kanzu moja matata na Hussein Marsha, akaona ni fedheha akampiga ngumi, kadi nyekundu ikafuata
Droo ya peke yako hiiAlafu tukipita tunakutana na mshindi kati ya
Al alhy vs mamelod
Nawe ukiwemo? Mjiandae kuliaKaizer chief mashabiki wao wameanza kushangilia maana siku zote dua yao ilikua wanataka kukutana na Simba.
Anajulikana.. (taja mmoja)Mtaongea sana, lakini bingwa anajulikana hapo ni Wydad, Belouizdad or Al ahly.. ..mmoja kati yao.. ..sifuti hii comment
Hujui football ww mganga wa kienyejMtaongea sana, lakini bingwa anajulikana hapo ni Wydad, Belouizdad or Al ahly.. ..mmoja kati yao.. ..sifuti hii comment
[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji91][emoji91]
Hujui football ww mganga wa kienyej
Anajulikana.. (taja mmoja)