Robo Fainali CAFCL: Simba Sc kukutana na Kaizer Chiefs

2018-2019 mkuu.
 
Naona kama tunafika Nusu fainali kirahis tu but tuwe makin tu huko ugenini tupate hata droo tu
 
Wewe sio shabiki wa Simba.
Wewe no utopolo.Shabiki wa Simba hawezi toa kauli kama hiyo.
Huu mwaka tutawafurahisha sana

Ushabiki wa timu siyo mali binafsi.

Endelea kujipa asilimia 100% ya ushindi, tunaojua mpira tunaujua umuhimu wa kutomdharau mpinzani.
 
Abdoulaye Traore alipigwa kanzu moja matata na Hussein Marsha, akaona ni fedheha akampiga ngumi, kadi nyekundu ikafuata
Mechi gani hiyo kwani huyu Abdoulaye Traore nakumbuka kwenye ngazi ya vilabu alikuwa akicheza Professional Football Ufaransa.
 
Nasubiri kumuona fundi khama billiat akipambana na kina kahata pale kwenye kiungo.
 
Hawa ndo mnakutana nao
Kaizer hao hao wa 9 kwenye msimamo wa ligi? Ni haohao waliofunga magoli 24 kwenye mechi 25 na kufungwa magoli 28?
Ni hao hao waliocheza mechi 9 za Mabingwa na kufunga magoli 5 tu huku wakifungwa 4?
Yaani hawa watakuwa futari.
 

Attachments

  • VID-20210502-WA0020.mp4
    3 MB
Mechi gani hiyo kwani huyu Abdoulaye Traore nakumbuka kwenye ngazi ya vilabu alikuwa akicheza Professional Football Ufaransa.
Alicheza Ufaransa ni kweli, lakini pia alimalizia mpira kwao Ivory Coast.
NB: Yupo pia mchezaji mwingine mwenye jina kama hilo Abdoulaye Traore, ila ni raia wa Burkina Faso

 
Nakumhusha kwa kiwango cha kaizer hana hata uwezo wa kumfunga Yanga hivo nusu fainali ni Simba na Mc Alger/Wydad Casablanca
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…