2018-2019 mkuu.Ni mechi moja tu mara ya mwisho kua match mbili ilikua kati ya Wydad na Esperance 1st league Esperance alibebwa sana kiasi kwamba Wydad alishindwa kuvumilia hakumaliza mechi na kutoka uwanjani.
CAF wakampa ubingwa Esperance na Fainali ikaanza kua moja nakumbuka ni kama miaka minne kutokea hili tukio
Hii Bayern itakuwa ya KapalamsengaBayern ya tandahimba au
Wewe sio shabiki wa Simba.Washabiki wa Simba tumeshajipa uhakika wa kuvuka robo.
Tusije kushangazwa tu.
Wewe sio shabiki wa Simba.
Wewe no utopolo.Shabiki wa Simba hawezi toa kauli kama hiyo.
Huu mwaka tutawafurahisha sana
Pamoja sana kaka[emoji23]Mac kila la heri [emoji1787]
[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji91][emoji91]
Fainali inachezwa kwenye uwanja ambao kila timu itakuwa ni mgeni.Mamelod anatolewa na Al Ahly hafiki fainali.
Kombe linabaki Tanzania tena fainali inachezwa kwa Mkapa. Kuna rekord inawekwa mwaka huu
Kwa mujibu wao bora derby kuliko kukutana na wekundu wa msimbaziKaizer chief mashabiki wao wameanza kushangilia maana siku zote dua yao ilikua wanataka kukutana na Simba.
1995 African Cup of Champions Clubs (wakati huo ilikuwa inaitwa hivyo, ambapo kwa sasa ndio CAF Champions League). Walikutana Simba na ASEC Mimosas, mechi ya raundi ya pili. Simba alilala 2-1 wakati huo ASEC ina mshambuliaji matata Sekou BambaIlikua mechi gani
Kwani unafikiri maneno ya mashabiki ndio maneno ya kocha na wachezaji.Ushabiki wa timu siyo mali binafsi.
Endelea kujipa asilimia 100% ya ushindi, tunaojua mpira tunaujua umuhimu wa kutomdharau mpinzani.
Kwani unafikiri maneno ya mashabiki ndio maneno ya kocha na wachezaji.
Mechi gani hiyo kwani huyu Abdoulaye Traore nakumbuka kwenye ngazi ya vilabu alikuwa akicheza Professional Football Ufaransa.Abdoulaye Traore alipigwa kanzu moja matata na Hussein Marsha, akaona ni fedheha akampiga ngumi, kadi nyekundu ikafuata
Topolo hilo limebaki kuhonga marefaHujui football ww mganga wa kienyej
Kaizer hao hao wa 9 kwenye msimamo wa ligi? Ni haohao waliofunga magoli 24 kwenye mechi 25 na kufungwa magoli 28?
Ni hao hao waliocheza mechi 9 za Mabingwa na kufunga magoli 5 tu huku wakifungwa 4?
Yaani hawa watakuwa futari.
Alicheza Ufaransa ni kweli, lakini pia alimalizia mpira kwao Ivory Coast.Mechi gani hiyo kwani huyu Abdoulaye Traore nakumbuka kwenye ngazi ya vilabu alikuwa akicheza Professional Football Ufaransa.