OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Africa nzima inayo hii habari. Timu tishio katika michuano ya Club Bigwa Africa inakutana na timu nzito TP Mazembe,zikiwa ni timu pekee Afrika Mashariki na Kati katika hatua ya robo fainali.
Tulia hapa JF utapata kila kitu katika mtanange huu unaopigwa Uwanja wa Taifa
View attachment 1064060
DUA
Mungu muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo,tunakunyenyekea utujaalie ushindi mkubwa. Tumekuwa wanyonge muda mrefu tukiamini ipo siku ambayo ni leo utatunyanyua na kuteweka katika kilele.
Mungu Ibariki Simba,Mungu ibariki Tanzania
Tulia hapa JF utapata kila kitu katika mtanange huu unaopigwa Uwanja wa Taifa
View attachment 1064060
DUA
Mungu muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo,tunakunyenyekea utujaalie ushindi mkubwa. Tumekuwa wanyonge muda mrefu tukiamini ipo siku ambayo ni leo utatunyanyua na kuteweka katika kilele.
Mungu Ibariki Simba,Mungu ibariki Tanzania