Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC na TP Mazembe zatoka sare uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC na TP Mazembe zatoka sare uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Africa nzima inayo hii habari. Timu tishio katika michuano ya Club Bigwa Africa inakutana na timu nzito TP Mazembe,zikiwa ni timu pekee Afrika Mashariki na Kati katika hatua ya robo fainali.

Tulia hapa JF utapata kila kitu katika mtanange huu unaopigwa Uwanja wa Taifa

View attachment 1064060

DUA
Mungu muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo,tunakunyenyekea utujaalie ushindi mkubwa. Tumekuwa wanyonge muda mrefu tukiamini ipo siku ambayo ni leo utatunyanyua na kuteweka katika kilele.

Mungu Ibariki Simba,Mungu ibariki Tanzania
 

Attachments

  • IMG-20190406-WA0003.jpg
    IMG-20190406-WA0003.jpg
    27.5 KB · Views: 67
Eeh Mwenyenzi Mungu mwingi wa Rehema.. Naomba utupe nguvu zaidi ili tuwagaragaze, tuwabonde bonde, tuwasulubu, tuwang'ate, tuwatafune Tp Mazembe.. Japo Wakongo wametusaidia na vumbi lao, ila wembe ni ule ule uliomnyoa ndugu zao As Vita ndio huo huo utakaomnyoa na TP..

Pia uwape vyura fc moyo wa kutulia na bwana mmoja, waache umalaya wa kurukia kila bwana mwisho wa siku watapata mimba wasiojua baba yake..

This is SIMBA... Ladies and Gentlemen, Brothers and Sisters...

Mungu ibariki SIMBA.. Bariki mashabiki wake.. Ibariki Tanzania..
Ameeen
 
Back
Top Bottom