Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Hata mimi nimesahau Mkuu,ila ninachojua ni kwamba mtani anaendelea kudondosha point kwa kasi ya ndege ya Ethiopia.Hivi Simba na Ndanda matokeo yalikuwaje msimu huu katika mchezo wao wa kwanza, nimesahau kidogo