Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Halafu kuna Id fulani fulani huwa zina kauli chafu chafu leo sizioni humu Mkuu.Ila uzi wa leo hautembei kabisa...siku ile ya vita saa hizi zilikuwa ni page karibu 40
Ama kweli Mazembe si watu wazuri. 😅😅😅😅