Wametumia strategic nzuri maana hapo lazma biashara itachangamka,maana kundi hilo ndo linaongoza kwa show offKwa msiofika Mwanza, Rocky City Mall ndio Mlimani City ya Mwanza.
Cha kushangaza mwitikio wa wafanyabiashara wa Mwanza kwa jengo hili umekuwa mdogo sana mpaka kufikia kukodishwa kwa vyuo vikuu nchini kukodi floor za juu kuwa madarasa yao, vyuo zaidi ya vinne vikiongozwa na IFM vipo jengo hili.
Nadhani malengo ya hii mall hayakuwa kuifanya madarasa bali kituo cha kibiashara.
Pata picha Mlimani City inakuwa na Campus za IFM, CBE etc, mnaelewa vurugu za vitoto vya chuo.
Biashara sio show off show off hailipi mkopo benki,hivi vitoto vinaxurura tu madukani ila havinunui kitu,kwa mwekezaji mkuu ni advantege ila kwa wafanyabiashara ni tatizowametumia strategic nzuri maana hapo lazma biashara itachangamka,maana kundi hilo ndo linaongoza kwa show off
Hao wanafunzi ndio wateja wenyewe, sioni tatizoKwa msiofika Mwanza, Rocky City Mall ndio Mlimani City ya Mwanza.
Cha kushangaza mwitikio wa wafanyabiashara wa Mwanza kwa jengo hili umekuwa mdogo sana mpaka kufikia kukodishwa kwa vyuo vikuu nchini kukodi floor za juu kuwa madarasa yao, vyuo zaidi ya vinne vikiongozwa na IFM vipo jengo hili.
Nadhani malengo ya hii mall hayakuwa kuifanya madarasa bali kituo cha kibiashara.
Pata picha Mlimani City inakuwa na Campus za IFM, CBE etc, mnaelewa vurugu za vitoto vya chuo.
Mwendazake aliua uchumi wa sekta binafsi ambao ndio wangepangisha humo ulitegemea nini?Kwa msiofika Mwanza, Rocky City Mall ndio Mlimani City ya Mwanza.
Cha kushangaza mwitikio wa wafanyabiashara wa Mwanza kwa jengo hili umekuwa mdogo sana mpaka kufikia kukodishwa kwa vyuo vikuu nchini kukodi floor za juu kuwa madarasa yao, vyuo zaidi ya vinne vikiongozwa na IFM vipo jengo hili.
Nadhani malengo ya hii mall hayakuwa kuifanya madarasa bali kituo cha kibiashara.
Pata picha Mlimani City inakuwa na Campus za IFM, CBE etc, mnaelewa vurugu za vitoto vya chuo.
Kwa msiofika Mwanza, Rocky City Mall ndio Mlimani City ya Mwanza.
Cha kushangaza mwitikio wa wafanyabiashara wa Mwanza kwa jengo hili umekuwa mdogo sana mpaka kufikia kukodishwa kwa vyuo vikuu nchini kukodi floor za juu kuwa madarasa yao, vyuo zaidi ya vinne vikiongozwa na IFM vipo jengo hili.
Nadhani malengo ya hii mall hayakuwa kuifanya madarasa bali kituo cha kibiashara.
Pata picha Mlimani City inakuwa na Campus za IFM, CBE etc, mnaelewa vurugu za vitoto vya chuo.
Vyuo vyetu vya "gorofa ya sita"Unamaanisha nini kusema vyuo zaidi ya vinne viko hapo? Labda 'vyuo' madrassa!
Jiwe amefanya posta kuwa mji wa kale,majengo yamekuwa magofu hayana wapangajiMwendazake aliua uchumi wa sekta binafsi ambao ndio wangepangisha humo ulitegemea nini?
Pili supermarket na ushamba wa Wasukuma wapi na wapi? Hiyo Mall ingejengwa Dar,Arusha,Dom au Mbeya ingepata wapangaji..
Sio jengo hilo tuu bali kuna jingine Moshi na zile Twin Towers za pspf na Bandari ziko empty.
Tangu lini wakawa serious hao ..mtu anipga picha yupo juu ya mti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu hapo Mwanza inataka ifananishwe na Arusha, wasukuma hawapo serious kabisaaa. Lol
Yule mtu kiukweli hapana.Jiwe amefanya posta kuwa mji wa kale,majengo yamekuwa magofu hayana wapangaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangu lini wakawa serious hao ..mtu anipga picha yupo juu ya mti