Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu hapo Mwanza inataka ifananishwe na Arusha, wasukuma hawapo serious kabisaaa. Lol
Watasema ile ya IAA kutumia Hotel ya Ngurdoto kama hostelNgoja tusubirie zile mada za kulinganisha Mwanza na Arusha zije sijue watasema nini hapa...
Tangu lini wakawa serious hao ..mtu anipga picha yupo juu ya mti
Inaitwa landmark hotelHata pale riverside dar kuna hotel kubwa ilikuwa hostel za udsm,jiwe Mungu amrehemu
Natamani serikali wangejenga nyumba kali za kupangisha raia kwa bei nzuri pesa za project zingeweza kurudi mapema
[emoji23][emoji23] nipo KASK hapa wamegeuza vimbwetaWasukuma jamani mna fail wapi,hivi kweli mall unafanya madarasa...!!!
Totos za maana toka IFM
Arusha Kuna nini!!?..kelele nyingi tu,jiji kihaki tz ni dar na mwanza tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu hapo Mwanza inataka ifananishwe na Arusha, wasukuma hawapo serious kabisaaa. Lol
Wabheja sana ..olimolaAcha wapige picha, ni wao. Hata ninyi huko muna mapungufu yenu kibao tu. Kanda ya kaskazini ukiiondoa TANGA watu wake wengi wastaarabu. But, Kwanzia arusha, manyara mpaka huko moshi kuna ustaarabu gani!! Wachache sana wamestaarabika,,,ukija kwenye wizi, ujambazi, kupora mali za watu, ulevi wa kupindukia ndio zao,, ila some of them wanajitambua.
Nashukuru Mungu nimezaliwa usukumani.