HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kilio hiki kitawapata wa Makao Makuu mapyaMwanza na Biashara ya Malls bado sana...
Japo Biashara ya Real Estate siku hizi nayo ni hasara tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilio hiki kitawapata wa Makao Makuu mapyaMwanza na Biashara ya Malls bado sana...
Japo Biashara ya Real Estate siku hizi nayo ni hasara tu..
Hata wa Makao makuu ya Zamani nao wanalia..Kilio hiki kitawapata wa Makao Makuu mapya
Niliwahi kwenda mule mwaka huu mwanzoni zile Supermarket naulizia Mkate Brown wananishangaa ndo nini hicho, nikajua hapa bado sanaKwa msiofika Mwanza, Rocky City Mall ndio Mlimani City ya Mwanza.
Cha kushangaza mwitikio wa wafanyabiashara wa Mwanza kwa jengo hili umekuwa mdogo sana mpaka kufikia kukodishwa kwa vyuo vikuu nchini kukodi floor za juu kuwa madarasa yao, vyuo zaidi ya vinne vikiongozwa na IFM vipo jengo hili.
Nadhani malengo ya hii mall hayakuwa kuifanya madarasa bali kituo cha kibiashara.
Pata picha Mlimani City inakuwa na Campus za IFM, CBE etc, mnaelewa vurugu za vitoto vya chuo.
Kwa Purchasing power Arusha wako juuu sana ya Mwanza,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu hapo Mwanza inataka ifananishwe na Arusha, wasukuma hawapo serious kabisaaa. Lol
Kipimo ,,umetumia nnKwa Purchasing power Arusha wako juuu sana ya Mwanza,
Lete dataKwa Purchasing power Arusha wako juuu sana ya Mwanza,
Niliwahi kwenda mule mwaka huu mwanzoni zile Supermarket naulizia Mkate Brown wananishangaa ndo nini hicho, nikajua hapa bado sana
Hana data anaropoka ,,, Mwanza ingekuwa na purchasing power ndogo ,,, maduka makubwa pale town yasingekuwapo,,show za kimataifa kama fally ipupa na wengine zisingeletwa, hoteli za gharama zisingejengwa( hazitegemei watalii).mwanza ndo mji wa pili kwa uagizaji magari nje ya nchi,....Kipimo chako mikate ya Brown, Aahahaahahaaaaaa Jamiii Forum ina kazi sana yaaani
Hii ndio aim mall ArushaView attachment 2261173
Lakini ngurudoto 5 star hotel iligeuzwa hostel za vyuo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu hapo Mwanza inataka ifananishwe na Arusha, wasukuma hawapo serious kabisaaa. Lol
Ni kwaida yetu, kungekuwepo na majani tungefugia ng'ombe!Wasukuma jamani mna fail wapi,hivi kweli mall unafanya madarasa...!!!
Mi nasubiri battle ya arusha na dubai city,, hamchelewi kuja na hili.
Halafu acha kufananisha mbuzi na ukubwa wa pofu + utamu wake, maana yangu acha kufananisha kiarusha na jiji la mwanza, utachekwa. Pitia kwa umakini baada ya dar ni jiji lipi la pili kwa ukubwa na mandhari yake nzuri.
Mwanza watu wanapenda vitu vya mtaani,ndio mana huwezi kuta maduka kama The game,shoperz au village supermarket..au brandhouse uzikute mwanza,na hili liko miaka yoteKwa msiofika Mwanza, Rocky City Mall ndio Mlimani City ya Mwanza.
Cha kushangaza mwitikio wa wafanyabiashara wa Mwanza kwa jengo hili umekuwa mdogo sana mpaka kufikia kukodishwa kwa vyuo vikuu nchini kukodi floor za juu kuwa madarasa yao, vyuo zaidi ya vinne vikiongozwa na IFM vipo jengo hili.
Nadhani malengo ya hii mall hayakuwa kuifanya madarasa bali kituo cha kibiashara.
Pata picha Mlimani City inakuwa na Campus za IFM, CBE etc, mnaelewa vurugu za vitoto vya chuo.
Ko unataka kusemaje yaani..nono supermarket imekuwapo miaka mingi , furniture house,u turn supermarket,Mr discount,vunjabei,GSm, Little more ,ni maduka ya mtaani syoMwanza watu wanapenda vitu vya mtaani,ndio mana huwezi kuta maduka kama The game,shoperz au village supermarket..au brandhouse uzikute mwanza,na hili liko miaka yote
Hata like jengo refu dar liko empty nenda posta Majengo kibao yapo emptyMwendazake aliua uchumi wa sekta binafsi ambao ndio wangepangisha humo ulitegemea nini?
Pili supermarket na ushamba wa Wasukuma wapi na wapi? Hiyo Mall ingejengwa Dar,Arusha,Dom au Mbeya ingepata wapangaji..
Sio jengo hilo tuu bali kuna jingine Moshi na zile Twin Towers za pspf na Bandari ziko empty.
MnooooKwa Purchasing power Arusha wako juuu sana ya Mwanza,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahLakini ngurudoto 5 star hotel iligeuzwa hostel za vyuo.
Sure tena mwananchi waliandika hiyo habara, enzi za jiwe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Kwa msiofika Mwanza, Rocky City Mall ndio Mlimani City ya Mwanza.
Cha kushangaza mwitikio wa wafanyabiashara wa Mwanza kwa jengo hili umekuwa mdogo sana mpaka kufikia kukodishwa kwa vyuo vikuu nchini kukodi floor za juu kuwa madarasa yao, vyuo zaidi ya vinne vikiongozwa na IFM vipo jengo hili.
Nadhani malengo ya hii mall hayakuwa kuifanya madarasa bali kituo cha kibiashara.
Pata picha Mlimani City inakuwa na Campus za IFM, CBE etc, mnaelewa vurugu za vitoto vya chuo.
Kuna watu wanatype kwasababu wanasmart phone hata Mwanza wanayoisema hawaijui.Ndo maana leo mama Samia kasema kuna watu wana hakili za kawaida.Wiki iliyopita nilikuwa Arusha yaana ndani ya km 5 kutoka city centre ni mashamba ya kahawa na ndani ya km 40 huwezi kuona kituo cha mafuta ili nilitembea kwa neutral zaidi ya km 40 kupata mafuta wilaya ya Mundulu alafu anakuja kichaa mmoja anashindanisha Mwanza na Arusha bado sana.Ndo maana Mama Samia kasema miji ya kibiashara baada Dar ni MwanzaKo unataka kusemaje yaani..nono supermarket imekuwapo miaka mingi , furniture house,u turn supermarket,Mr discount,vunjabei,GSm, Little more ,ni maduka ya mtaani syo