Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha Kuna nini!!?..kelele nyingi tu,jiji kihaki tz ni dar na mwanza tu
Wabheja sana ..olimola
Walichemsha hapo kwenye upembuzi yakinifu culture ya watu huku na malls mbalimbali,huku watu hawakubali mabadiliko ya haraka haraka,mfano jamaa wa bolt walileta huduma huku ila madereva na abiria hawaitakiWalijenga bila kufanya upembuzi yakinifu?.
Alafu kumbe Nakadori mchoyo. hakuleta mrejesho kuhusiana na hili kwenye safari yake ya mwanza.Totoz za kutosha
Wandu wa huko wanataka swampa kwa miguu 🤣🤣🤣🤣🤣Walichemsha hapo kwenye upembuzi yakinifu culture ya watu huku na malls mbalimbali,huku watu hawakubali mabadiliko ya haraka haraka,mfano jamaa wa bolt walileta huduma huku ila madereva na abiria hawaitaki
Ni kweli mwanza haiiwezi kufanana na jiji la wahuni full meno ya mahindi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu hapo Mwanza inataka ifananishwe na Arusha, wasukuma hawapo serious kabisaaa. Lol
Mzeya utakuwa ulifaidi vitamuNakadori mi ndio nilikuwa mwenyeji wake 😀😀
[emoji3][emoji3][emoji3]Waacheni wasukuma jamani, kama wameshindwa kushop basi hata wasomeemo[emoji1787]
Mmekulana nyie🤣🤣🤣🤣Dah unataka nitoe siri za jeshi nimekustukia
Mwanafunzi ana uwezo wa kununua bidhaa za hapo? Wanafunzi wanapenda nguo, wanaweza kununua nguo za hapo? Mfano pale mlimani city, Kuna mwanafunzi ana uwezo wa kununua nguo mr price au Woolworth?Hao wanafunzi ndio wateja wenyewe, sioni tatizo
Waendelee kuwepo itazoeleka tu. Kila kitu ni hatuaWalichemsha hapo kwenye upembuzi yakinifu culture ya watu huku na malls mbalimbali,huku watu hawakubali mabadiliko ya haraka haraka,mfano jamaa wa bolt walileta huduma huku ila madereva na abiria hawaitaki
Badoooo mnooo shougaa angu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!! Mwanza
Bado sanaaaaa ausio!!