Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Siku zoye shukurani ya punda ni mateke.
Heri ufuge mbwa kuliko binadamu
Anadai madam Ritha alianzisha BSS ili kutengeneza hela na si kuinua vipaji vya wasaniih ndio maana baada ya mashindano anakua hana story na mshiriki yeyote kujua anaendeleaje.
Kuna msemo huu huwa naupenda, "MOST LOOSERS END UP HATERS" ndo kinachomkuta huyo Rogers.Kama kweli ana kipaji tungeendelea kumsikia kama anavyosikika KALA JEREMIA pamoja na kubaniwa,kwani alitaka Madam Rita amfanyie nini baada ya hapo wakati mashindano yameisha?Anataka kubebwa ee