Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Msanii Rodgers aliyewahi kushiriki mashindano ya Bongo Star Search ameyaponda mashindano hayo kuwa hakuna haki na yanaendeshwa kwa interest za Madam Ritha. Amesema hajutii kukosa nafasi ya kwanza licha ya kushiriki mara mbili.
Amefika mbali kwa kusema Ritha anadhulumu haki za wasanii hao kwa kutengeneza pesa ndefu wakati washiriki ambao ndio wanaofanya mashindano hayo yawepo wanakufa masikini.
Akiongea kwa uchungu Rogers amesema Madam Ritha ndo anapanga nani awe mshindi hata kama hana kipaji. Hali hii inakatisha tamaa na kuwafanya wasanii wachukie aina ya mashindano kama BSS.
SOURCE: TBC (The Avenue program).
Amefika mbali kwa kusema Ritha anadhulumu haki za wasanii hao kwa kutengeneza pesa ndefu wakati washiriki ambao ndio wanaofanya mashindano hayo yawepo wanakufa masikini.
Akiongea kwa uchungu Rogers amesema Madam Ritha ndo anapanga nani awe mshindi hata kama hana kipaji. Hali hii inakatisha tamaa na kuwafanya wasanii wachukie aina ya mashindano kama BSS.
SOURCE: TBC (The Avenue program).