Rodri ashinda Ballon d’Or 2024, kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo

Rodri ashinda Ballon d’Or 2024, kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo

Mimi binafsi sijawahi kuwa shabiki wa tuzo hizi, naamini mpira ni team hauchezwi kama Tennis hakuna mchezaji mmoja akawa bora anaweza kuwa ni special kuliko wenzake lakini ni team ndio mafanikio yanakuja ni kama music awards kama ni band bora inachaguliwa group bora hakuna mwanamziki bora atachaguliwa kutoka kwenye kundi hata kama yeye ni star wa Band. Mpira ndio hivyo bila wenzako 10 nyuma yako hata uwe na mabawa utakabika tu. Ila Madrid utoto mwingi unazira team nzima sababu hamjashinda?
Wamefanya utoto mkubwa sana, sikutegemea kabisa. Timu yao imekuwa ikitoa mshindi wa ballon d'or karibia kila baada ya miaka 2, ina washindi wa ballon d'or zaidi ya 10, leo unasusa kwasababu unaamini mchezaji wenu alistahili zaidi ya wachezaji wengine.
 
kina george weah , Gaucho mbona wameshinda. Hio sio sababu kama mtu ni bora ni bora tu usilete mambo ya colour.
Wakina mbappe, Vini jr na yamal miaka 2 or 3 ijayo wanaweza kushinda tuzo hio kama wakichafua vyakutosha.
Rodri kapewa tuzo sio kwasababu ya colour bali anastahili kubeba tuzo hio.

kastahiki kwa vigezo vipi?
 
Hizi Tunzo ni TAKATAKA
TAKATAKA kwako, ila jua tu jana Vini amelia mpaka ndugu kutoka Brazil imebidi wapande ndege kwenda kumtuliza. Kilichomliza ni kukosa hiyo takataka!
Next season ajiandae kulia tena, Lamine Yamal anaweza kusepa na mali mapema tu.
 
Champion League winner
Euro winner
Champion league Final Man of The Match
La Liga Winner
Usihangaike sana, unaweza kumtumia hii replica ya Ballon D'or kwa njia ya POSTA. Fanya kama surprise, atakushukuru sana. Tena unaweza kuchonga mbili, moja utamtumia Vini, maana nasikia naye hali mbaya huko, hakuna chakula kinapita kooni kwasababu ya kukosa tuzo.
GbAmyXbWQAAqo88.jpeg
 
Back
Top Bottom