Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
[emoji23] Amna mkuu hulka ya mtu kufanya hvyo sio kwamba Ni kaskazini au laa!Ni wa kuachwa kweli, atakuwa mtoto wa kaskazini tu bila shaka.
Maana sie wengine Ni miamba ya kaskazini pia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] Amna mkuu hulka ya mtu kufanya hvyo sio kwamba Ni kaskazini au laa!Ni wa kuachwa kweli, atakuwa mtoto wa kaskazini tu bila shaka.
Hamna namna kwa kweli, aache tu wenye visu vikali waendelee kula nyama kwa sababu kwa miaka na dahari, always you must have something in order to handle a woman!!Waziiii! Mi naona mama atembee tu japo inauma moyo...ila itakuwa chachu ya msela kujitafuta. Niliwahi pitia hio situation. It hit me really hard ila nilipata nafasi ya kukua.
Au unataka kujifanya wewe kwako poa tu kuishi na mtu ambae ni boya tu?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Noted mkuuUkiwa hauna pesa, achana na wanawake.
That's true men,unaweza kufa kisa kupenda wanawake wakati huna uwezo wa kukaa naye na kutimiza mahitaji yake hata madogo madogo.Ukiwa hauna pesa, achana na wanawake.
Kila mtu ana namna yake ya kutafsiri uboyaAu unataka kujifanya wewe kwako poa tu kuishi na mtu ambae ni boya tu?!
Je, kama umeshaoa halafu ndio ukaishiwa unafanyaje ??.Ukweli ndio huu. Kila mmoja ajifunze
Mkuu pole sana,,nakuhusia usilazimishe mapenzi,,Kipindi nina mgogoro na mpenzi wangu niliomba ushauri humu JF kutokana na tabia za mpenzi wangu wengi walinishauri nijaribu kukaa naye chini na kuzungumza nae kiupole hatimaye nimefanikiwa na tumezungumza .
Katika mazungumzo aliniambia kiustarabu anaona bora tuachane au tuvunje uhusiano kwa sababu zifuatazo
1. Haoni future nzuli na Mimi hivyo anaona kama nampotezea muda
2. Maisha yangu hayaeleweki nimekuwa mtu wa kubangaiza ninaishi maisha ya kubahatisha hivyo bado sijasimama
3. Amejitahidi kuvumilia hali yangu ya maisha lakini uvimilivu unamshinda kwani Miaka yote haoni mabadiliko kila siku niko vile vile haoni hatua yoyote nilioipiga Katika maisha haya.
4. Finally akaniambia amenipa muda anataka kuona maisha yangu yanabadilika anataka kuona natoboa Katika maisha haya
Ila alichoniambia Kikubwa tuvunje uhusiano kama sitoweza kutimiza Yale anayoyataka yeye nimuache aendelee na maisha yake
Kwa mfano boya mimi ukija kwangu nakuachia ATM Card yangu pamoja na password. Si unakumbuka nilivyokueleza ile siku?!Kila mtu ana namna yake ya kutafsiri uboya
Swali la kwanza..
Wewe mwenyewe maisha yako unayaelewa mbaka hapo ulipo?
Watoto wa kaskazini tuliwakosea nini?Ni wa kuachwa kweli, atakuwa mtoto wa kaskazini tu bila shaka.
Naachaje kuja sasa[emoji12][emoji12]Kwa mfano boya mimi ukija kwangu nakuachia ATM Card yangu pamoja na password. Si unakumbuka nilivyokueleza ile siku?!
Kwahiyo, si utakuja?!