Roho inaniuma mpenzi wangu anataka tuachane kwa sababu hayaelewi maisha yangu

Roho inaniuma mpenzi wangu anataka tuachane kwa sababu hayaelewi maisha yangu

Mkuu kubali kuachana harafu tafuta pesa siku ukiwa vizuri muonyeshe kwa vitendo.

Kitu cha pili tafuta mademu wa kupunguza stress(kupiga na kusepa) watakuondolea stress za kuwaza waza ovyo.

Tatu Komaaa kutafuta pesa ubadilishe maisha yako na ujue kabsa kwamba mwanamke akishakutamkia kwamba tuachane yeye kashajipanga muda mrefu.

Nishawahi kuachana na mwanamke harafu nikaambiwa nilikuwa simfikishi na wakati muda huo ashatoa mimba yangu, sasa nikajiuliza kama nilikuwa simfikishi hiyo mimba iliigiaje?[emoji2297]
 
Kupata manzi wakuweza kufunguka kama huyo asee ni "one in a million"

huku kitaani wamejaa wale wakusepa kimya kimya,yani utaona tu ukpga simu

hapokei,msg hajibu,hadi ujiongeze mwenyewe usepe zako,sasa kama umepata

wakukwambia ukweli mchungu kama huyo "amini kwamba" hicho chuma ukikiacha

ukija kukutana nae tena itakua n car wash ukiwa unachakarka kaleta ndinga yake au ya basha ake uioshe
 
Ila dada zangu wa kichaga ni hatari sana bila kama huna future kao nao mbali tokea udogoni anaona baba ,baba mdogo ,mjomba ni ma hustle sasa akipata bwana ambaye haeleweki ,tegemea tu ataondoka ....
 
Maisha yangu mpka hivi sasa kwa

Kwa kweli tangu nimalize chuo mwaka 2016 sijabahatika kupata ajira

Maisha yangu sasa hivi nayaendesha kupitia biashara ya dagaa Nyanya na pilipili hoho ndo vinanisaidia kulipia chumba na hela ya kula

Maisha aisee....pole sana mkuu yaani umemaliza chuo leo upo mtaani unauza hoho na nyanya?

Inasikitisha sana!
 
Mkuu kubali kuachana harafu tafuta pesa siku ukiwa vizuri muonyeshe kwa vitendo.

Kitu cha pili tafuta mademu wa kupunguza stress(kupiga na kusepa) watakuondolea stress za kuwaza waza ovyo.

Tatu Komaaa kutafuta pesa ubadilishe maisha yako na ujue kabsa kwamba mwanamke akishakutamkia kwamba tuachane yeye kashajipanga muda mrefu.

Nishawahi kuachana na mwanamke harafu nikaambiwa nilikuwa simfikishi na wakati muda huo ashatoa mimba yangu, sasa nikajiuliza kama nilikuwa simfikishi hiyo mimba iliigiaje?[emoji2297]
Kufikisha haihusiani kabisa na kumpa mtu mimba kijana
 
Sauti husikii basi hata picha huoni? Huyo kashapata mwenye pesa achana nae utakuja kufa kwa ujinga.
 
Mwambie mpenzi wako anapongezwa na chige kwa sababu anapenda kwa kutumia akili na sio kwa kutumia moyo!!

Nothing personal but it's all about someone's future!!

Ngoja nikuulize: Assume una washikaji wawili! Mmoja unamuona yupo focused, anajielewa, fighter, ana uchungu na maisha and all that kiasi kwamba, hata akipata 100K anawaza kuifanyia kazi, na kama inakufa basi ni ile tunaita ajali kazini!

Mshikaji wa pili ni boya fulani hivi, akipata pesa ndo kwanza anakuita mkale bia, hata akipata kazi anakuwa mzembe mzembe!!

Now assume unaokota jiwe la Tanzanite linalokupa milioni kadhaa!! Je, uta-team up na mshikaji gani kati ya hayo wawili ili mfanye mambo ya kuelewa?!

Narudia, i's not personal... it's all about future na ndio maana hata wewe mwenyewe ukikutana na demu haeleweki eleweki, unaishia kupiga na kusepa, na hata kama unakaa nae, unajua kabisa ukiamua kuoa, atakuwa mwingine na sio huyo!

Itoshe tu kusema kwamba, hata mzazi anawekeza kwa mtoto ambae future yake inasomeka, seuze nyie mnaokutana ukubwani halafu bado mnataka mpendwe unconditionally wakati hata mama zenu wakiwaona maboya wanawapa kubwa!
No lie..
 
Back
Top Bottom