MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Mkuu kubali kuachana harafu tafuta pesa siku ukiwa vizuri muonyeshe kwa vitendo.
Kitu cha pili tafuta mademu wa kupunguza stress(kupiga na kusepa) watakuondolea stress za kuwaza waza ovyo.
Tatu Komaaa kutafuta pesa ubadilishe maisha yako na ujue kabsa kwamba mwanamke akishakutamkia kwamba tuachane yeye kashajipanga muda mrefu.
Nishawahi kuachana na mwanamke harafu nikaambiwa nilikuwa simfikishi na wakati muda huo ashatoa mimba yangu, sasa nikajiuliza kama nilikuwa simfikishi hiyo mimba iliigiaje?[emoji2297]
Kitu cha pili tafuta mademu wa kupunguza stress(kupiga na kusepa) watakuondolea stress za kuwaza waza ovyo.
Tatu Komaaa kutafuta pesa ubadilishe maisha yako na ujue kabsa kwamba mwanamke akishakutamkia kwamba tuachane yeye kashajipanga muda mrefu.
Nishawahi kuachana na mwanamke harafu nikaambiwa nilikuwa simfikishi na wakati muda huo ashatoa mimba yangu, sasa nikajiuliza kama nilikuwa simfikishi hiyo mimba iliigiaje?[emoji2297]