MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Brace yourself for bad news.Je, kama umeshaoa halafu ndio ukaishiwa unafanyaje ??.
[emoji817] [emoji110][emoji110]Plain truth, bila disposable income wanawake huwa chanzo cha stress na negativity tu katika maisha.
Hahahah kumbe ni kweli🤣🤣🤣Watoto wa kaskazini tuliwakosea nini?
Kwani wewe ni wa kaskazini!??!?Watoto wa kaskazini tuliwakosea nini?
Baba umetishaaaaaaaIla dada zangu wa kichaga ni hatari sana bila kama huna future kao nao mbali tokea udogoni anaona baba ,baba mdogo ,mjomba ni ma hustle sasa akipata bwana ambaye haeleweki ,tegemea tu ataondoka ....
Maisha yangu mpka hivi sasa kwa
Kwa kweli tangu nimalize chuo mwaka 2016 sijabahatika kupata ajira
Maisha yangu sasa hivi nayaendesha kupitia biashara ya dagaa Nyanya na pilipili hoho ndo vinanisaidia kulipia chumba na hela ya kula
Duh hiyo point ya mwisho siyo kabisa maana atakamatwa achomwe moto afe mapema.1. Piga chini
2. Tafuta pesa
3. Tafuta pesa
4. Tafuta pesa
5. Tafuta pesa
6. Tafuta pesa
7. Tafuta pesa
8. Tafuta pesa
9. Tafuta pesa
10. Tafuta pesa
11. Piga hata roba ya mbao upate pesa
Kufikisha haihusiani kabisa na kumpa mtu mimba kijanaMkuu kubali kuachana harafu tafuta pesa siku ukiwa vizuri muonyeshe kwa vitendo.
Kitu cha pili tafuta mademu wa kupunguza stress(kupiga na kusepa) watakuondolea stress za kuwaza waza ovyo.
Tatu Komaaa kutafuta pesa ubadilishe maisha yako na ujue kabsa kwamba mwanamke akishakutamkia kwamba tuachane yeye kashajipanga muda mrefu.
Nishawahi kuachana na mwanamke harafu nikaambiwa nilikuwa simfikishi na wakati muda huo ashatoa mimba yangu, sasa nikajiuliza kama nilikuwa simfikishi hiyo mimba iliigiaje?[emoji2297]
No lie..Mwambie mpenzi wako anapongezwa na chige kwa sababu anapenda kwa kutumia akili na sio kwa kutumia moyo!!
Nothing personal but it's all about someone's future!!
Ngoja nikuulize: Assume una washikaji wawili! Mmoja unamuona yupo focused, anajielewa, fighter, ana uchungu na maisha and all that kiasi kwamba, hata akipata 100K anawaza kuifanyia kazi, na kama inakufa basi ni ile tunaita ajali kazini!
Mshikaji wa pili ni boya fulani hivi, akipata pesa ndo kwanza anakuita mkale bia, hata akipata kazi anakuwa mzembe mzembe!!
Now assume unaokota jiwe la Tanzanite linalokupa milioni kadhaa!! Je, uta-team up na mshikaji gani kati ya hayo wawili ili mfanye mambo ya kuelewa?!
Narudia, i's not personal... it's all about future na ndio maana hata wewe mwenyewe ukikutana na demu haeleweki eleweki, unaishia kupiga na kusepa, na hata kama unakaa nae, unajua kabisa ukiamua kuoa, atakuwa mwingine na sio huyo!
Itoshe tu kusema kwamba, hata mzazi anawekeza kwa mtoto ambae future yake inasomeka, seuze nyie mnaokutana ukubwani halafu bado mnataka mpendwe unconditionally wakati hata mama zenu wakiwaona maboya wanawapa kubwa!