ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,594
- 2,234
Daa mkuu umemaliza kila kitu yani.Binadamu tunataabika sana kwa kujifanyia ulinganifu katika maisha na watu wengine. MUNGU kila mja amempangia mapito yake.Wakati yeye anasikitika hana watoto na maisha yanayoeleweka, kuna mtu anapigania walau apone tu na dalili haipo! Tushukuru kwa kila jambo mkuu
Pole sana Kama post yangu imekuumiza kwa niaba ya muhusika!Si kila sehemu lazima uwe fundi kujua. Ulichofanya hapa ni ufundi kujua.
Mtu ana shida, anahitaji msaada na wewe unaleta ngonjera zisizokuwa na kichwa wala miguu.
Ndivyo ulivyofundishwa kwenu, mtu akiwa na matatizo suluhu ni kumchamba. Nimeshangaa sana mwanaume unachamba.
Kama ulikuwa huna cha kusema kumsaidia, akheri ungekaa kimya, wala usingepungukiwa chochote.
Inakuaje unaandika barua yote hii kumuharibia mtu siku, kumtonesha kidonda, kuongeza mzigo juu ya mzigo, kuongeza msiba juu ya msiba.
Wewe binadamu gani unaona fasheni kutokuwa na huruma dhidi ya binadamu mwenzio. Unasaidia watu kweli wewe?
Huenda husaidii, sio kwa kuibua huko dhana usiyo na uhakika nayo kama ina uhusiano na mtoa mada basi tu upenyeze mipasho! Halafu unamshauri afanye maamuzi asilie.
Seriously kuna mwanadamu hafanyi maamuzi! Tatizo la mtoa mada sio kutofanya maamuzi bali anafanya maamuzi yasiyo muongezea thamani anayoitaka. Ulipaswa umshauri afanyeje hayo maamuzi baada ya kuacha kulia.
Halafu Baba, Mtoa mada kasema anapambana na maisha na wewe unaibuka na ushauri wa "pambana watu wakupe hongera wanapoona mafanikio". Inaleta tofauti gani? Nicheke [emoji1787].
Mkuu C kama hutojali nicheki PM tushirikishane mawazo. Usimsikilize huyu fundi kujua ambaye kaokota kapoint huko anadhani kanaapply kila mahali. Lipo tumaini kumpata C unayemtaka. Kama hutoboi maana yake kuna mahali unazingua. So you need to take good care of it.
Nisamehewe mimi[emoji120], nimetuma kama nilivyopokea.
Gender...?Roho inaniuma jamani leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.
Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpaka leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii.
AiseeeeSasa mkuu miaka 35 tu unalalamika???.mbona yesu tangu arudishe mpira kwa kipa(kupaa mbingun) yuko kwa dingi yake anakula ugali wa shikamoo
Wewe jamaa hufai.Mimi pia Nina umri huo lkn ndevu tu ndo zimejaa kwenye kidevu.Naomba Mungu anitie nguvu.Una umri sawa na Jumaa Aweso, mwenzako ni mbunge na waziri wa maji hahaaa
Brather usikate tamaa wanaume hatuzeeki piga kazi IPO siku mwanga utauonaRoho inaniuma jamani leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.
Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpaka leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii.
Asante Mkuu, nimejifunza kitu.Kuna Jamaa alipata kazi akiwa na miaka 25 yaan mwaka mmoja baada ya kumaliza chuo kikuu..ila alikuja kufa miaka miwili baadaye yaan akiwa na miaka 27
Kuna mwengine yeye baada ya masomo, aliajiriwa akiwa namiaka 43 akaisha miaka 90
Hilo nisuala la Ajira tu..je wanaojiajili??
KATAA KATAKATA KUJIWEKEA DEADLINE KWENYE MAISHA....wengi wamejiwekea Deadline lkn matokeo yake, tarehe namwaka husika umefika na hawana kitu, wamejikuta ni watu wa msongo wa mawazo sanaaaaa...
Yaaan achana na mambo yakusema nikifika miaka 30 , nitakua na nyunba, gari kazi n.k
WEWE HUJUI KESHO YAKO .. AJUAYE NI MUNGU.
utapanga hili, lkn kumbe Mungu anataka akucheleweshe ili ujifunze jinsi gan maisha yalivyo,nasiku ukiyapata basi uyachezeee.
Muache Mungu aite Mungu ...Komaaa komaaa pambana pambanaa
KUSHINDA LAZIMA USHINDE SIO KWA HARAKA ILA UTASHINDA KWA UHAKIKA.
MUNGU HAPENDI WATU WAVIVU, WANAOKATA TAMAA
HahahaaWewe jamaa hufai.Mimi pia Nina umri huo lkn ndevu tu ndo zimejaa kwenye kidevu.Naomba Mungu anitie nguvu.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Usikate tamaa bado hujachelewa! Life starts at 40.. Usijilinganishe na waliowahi.. Kila mmojawetu ana fungu lake na saa yake ya kupataRoho inaniuma jamani leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.
Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpaka leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii.