Roho inasita kumpatia mpenzi wangu Zawadi

Roho inasita kumpatia mpenzi wangu Zawadi

Aiseee acha unachokifanya..atakuja kukufanya jambo uone dunia inalulemea why umuumize si umuache tu mara moja
 
Habari zenu,

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni miezi minne (4) sasa tangu tuanzishe mahusiano na huyu Kaka kuna zawadi nilinunua kumpatia tangu niinunue mpaka leo ninayo na sijampa na moyo wangu nikitaka kumpa hautaki kabisa tatizo sijui liko wapi?

ila huyu kaka kunipenda ananipenda kweli ni matendo yake anayonionyeshea na nilisha mwambia mara nyingi sana tuachane na simuhutaji tena lakini amekuwa kinganganizi, hamuwezi amini nimeamua kubadilisha line ili nisiwe na mawasiliano nae. ninakaa nae maeneo ya home yani mpaka najuta kwa nini imetokea hivi mpaka yeye mwenyewe ananiambia sijui kwa nini mtu unayempenda kweli anakuwa hakupendi mpaka nimemuonea huruma

ila niseme ukweli huyu kaka napenda kweli kumsumbua yani nicheze na moyo wake nimuuzi ndo huwa nasikia raha kinachonichekesha hata kosa likawa langu huwa anaomba msamaha muda mwingine mpaka namuonea huruma... nafanya hivyo kwa sababu siko na malengo nae na enjoy tu nikifanya hivyo
ipo siku kushoto itakuwepo kulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu,

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni miezi minne (4) sasa tangu tuanzishe mahusiano na huyu Kaka kuna zawadi nilinunua kumpatia tangu niinunue mpaka leo ninayo na sijampa na moyo wangu nikitaka kumpa hautaki kabisa tatizo sijui liko wapi?

ila huyu kaka kunipenda ananipenda kweli ni matendo yake anayonionyeshea na nilisha mwambia mara nyingi sana tuachane na simuhutaji tena lakini amekuwa kinganganizi, hamuwezi amini nimeamua kubadilisha line ili nisiwe na mawasiliano nae. ninakaa nae maeneo ya home yani mpaka najuta kwa nini imetokea hivi mpaka yeye mwenyewe ananiambia sijui kwa nini mtu unayempenda kweli anakuwa hakupendi mpaka nimemuonea huruma

ila niseme ukweli huyu kaka napenda kweli kumsumbua yani nicheze na moyo wake nimuuzi ndo huwa nasikia raha kinachonichekesha hata kosa likawa langu huwa anaomba msamaha muda mwingine mpaka namuonea huruma... nafanya hivyo kwa sababu siko na malengo nae na enjoy tu nikifanya hivyo
Nipe mm
 
Kobe alieinamisha kichwa huyoo.Anatunga sheria.
Na si unajua sheria ni msumemo.Halaf msumeno wa chuma hukata kuwil.
Usibadil ID upande wa pil ukianza kuonja joto ya jiwe
 
Duh umejuaje ni single mother mkuu?@Liverpool_Jr,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukianza kujongea 28, uje usome huu uzi.
Mbona kashafika..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachokifanya nawe zam yako inakuja tena wewe utateswa zaid ya.......
 
Habari zenu,

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni miezi minne (4) sasa tangu tuanzishe mahusiano na huyu Kaka kuna zawadi nilinunua kumpatia tangu niinunue mpaka leo ninayo na sijampa na moyo wangu nikitaka kumpa hautaki kabisa tatizo sijui liko wapi?

ila huyu kaka kunipenda ananipenda kweli ni matendo yake anayonionyeshea na nilisha mwambia mara nyingi sana tuachane na simuhutaji tena lakini amekuwa kinganganizi, hamuwezi amini nimeamua kubadilisha line ili nisiwe na mawasiliano nae. ninakaa nae maeneo ya home yani mpaka najuta kwa nini imetokea hivi mpaka yeye mwenyewe ananiambia sijui kwa nini mtu unayempenda kweli anakuwa hakupendi mpaka nimemuonea huruma

ila niseme ukweli huyu kaka napenda kweli kumsumbua yani nicheze na moyo wake nimuuzi ndo huwa nasikia raha kinachonichekesha hata kosa likawa langu huwa anaomba msamaha muda mwingine mpaka namuonea huruma... nafanya hivyo kwa sababu siko na malengo nae na enjoy tu nikifanya hivyo
Mkifanyiwaga hivyo hamkawii kusema ..ALL MEN ARE DOGS...
Mwambie ukweli mapema... Usidhani wanaopigwaga risasi wanafanyaga tofauti na wewe.. ni haya haya hupelekea mtu kucharangwa visu...
 
Ngoja akugegede kwanza ndo utajua kama anakupenda kweli,
 
Back
Top Bottom