JF, unaweza ukaambiwa, ukajibiwa, ukazodolewa, kiasi ambacho kama una roho ya gamba la yai ukanunua simu kila wiki, kwa sababu ya kuzipigiza chini kwa hasira..[emoji31][emoji31]Atume pesa kwanza mjini cha bure salamu tu....
Hata kuuliza njia unalipia
Mchawi madame B..[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Mi sina emoji yoyote notification zinakuja mara chache sana wakati mwingine inaniletea notification za mada za mwaka juzi mpk najiuliza mchawi gani huyu
Kwahiyo umekasirika????? Haya vunja simuJF, unaweza ukaambiwa, ukajibiwa, ukazodolewa, kiasi ambacho kama una roho ya gamba la yai ukanunua simu kila wiki, kwa sababu ya kuzipigiza chini kwa hasira..[emoji31][emoji31]
sio mimi minaejibiwa mkuu, namuonea huruma mtoa mada..[emoji851][emoji851]Kwahiyo umekasirika????? Haya vunja simu
sio mimi minaejibiwa mkuu, namuonea huruma mtoa mada..[emoji851][emoji851]
[emoji38]sio mimi minaejibiwa mkuu, namuonea huruma mtoa mada..[emoji851][emoji851]
Sanaaaaaaa! Kama app ndio majanga kabisa. Notifications haziji au zikija zinachelewa kweli. Ya wiki ilopita unaipata leo.
Web hata mimi inanishinda, nimezoea zaidi app.
Yeah!! Unaweza kuaingia kwa web unakuta kumbe mtu alikumention mwezi ulopita na haukuona[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mtu anaweza kuhisi umemkaushia kumbe wapi
Mchawi madame B..[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Yeah!! Unaweza kuaingia kwa web unakuta kumbe mtu alikumention mwezi ulopita na haukuona[emoji23][emoji23][emoji23]
Natumia app notification ambayo sipati ya tag tuNiliuninstall nikainstall upya ndo kuniletea notification za mwaka juzi,,,? Web inanishinda kabisa
Basi inabagua hii appNatumia app notification ambayo sipati ya tag tu
Ulijaribu Ku update ?Sanaaaaaaa! Kama app ndio majanga kabisa. Notifications haziji au zikija zinachelewa kweli. Ya wiki ilopita unaipata leo.
YesUlijaribu Ku update ?
Jaribu kwenda kwenye profile yako, nenda setting, halafu fungua sehemu zote , pamoja na kuweka notification on.
Natambua yote hayo na nishafanya.Jaribu kwenda kwenye profile yako, nenda setting, halafu fungua sehemu zote , pamoja na kuweka notification on.
Kwa hiyo tatizo ni notification tu, au na emoji ?Natambua yote hayo na nishafanya.