ROHO MBAYA TU 😡😡😡

ROHO MBAYA TU 😡😡😡

Hii tabia ya baadhi ya members Ku reply bila kuweka na kareaction kokote ni roho mbaya tu zinawasumbua.
Tujitahidi jamani kusambaza upendo wakati wa kureply.kuweka reaction yoyote.iwe ya kuchukia,kufurahi,kupongeza,etc.sometimes tuvitu tudogo tudogo kama hivi vinatufanya wana JFGT tupendane na kupeana motisha.
Ni hayo tu.

Sijanywa chai bado.😆😆😆
Hivi kutokukuwekea reaction ya kuichukia post yako nayo ni roho mbaya?!
 
Back
Top Bottom