Roho mbaya za wanasiasa lawama kwa polisi.

Roho mbaya za wanasiasa lawama kwa polisi.

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Hivi sasa polisi wanalaumiwa Kila sehemu,
Hivi sasa polisi wanadharaulika kika sehemu,

Wanaonekana kwamba kumbe hata wao huwa hawafuati Sheria kwenye ukamataji,lakini wao humtaka raia atii Sheria Bila shuruti.
Imebainika kwamba hawafuati PGO kwenye ukamataji.
Imebadilika kwamba kumbe hawana weledi wowote kwenye kazi zao,haijulikani kama polisi ni watu wema au ni majambazi,huko mitaani wanajadili.
Wanaonekana wabambika kesi,
Watesaji,
Wezi wa pesa za Adamoo,
Wakatiki,waonevu na Kila aina ya ubaya ni wao.
Kila kijiwe ni Kingai,Mahita,na wengineo,
Vituo vya polisi vinaonekana kama kambi za mateso badala ya kuwa vituo vya matumaini na masada kuwa raia.
Wanamapungufu yao kweli,lakini hilo la Mbowe Gaidi bado naamini kuna Vijiwanasiasa viko nyuma ya ubambikaji wa kesi hii dhidi ya Mbowe na wenzake,kwa sababu tu Mbowe ni tishio kwao hivyo Vijiwanasiasa.

Vilimbomolea Club yake,
Vikaharibu bustani sake,
Vikaiba fedha kwenye akaunti zake,
Vikafunga akaunti zake,
Na Vikamuibia kura zake za ubunge.
Vikaona Mbowe hatetereki Yuko imara na Chadema yake.
Sasa vikaja na kubwa lao,kutengeneza mashitaka kijinga kabisa Mbowe Gaidi.

Maelekezo ya Mbowe apewe kesi ya ugaidi yanatokea na Vijiwanasiasa,na kutekelezwa na polisi,na lawama zote sasa ni kwa polisi.





Hakuna anaevijua Vijiwanasiasa hivyo,viko kwao vinakula chips,biriyani,pilau na michemsho hatuvijui lakini tunawaua akina Kingai,Mahita na askari polisi wengine.
Tunawatukana,tunawalaani na tunawaombea dua mbaya wao na watoto wao,lakini Vijiwanasiasa vilivyowapa maelekezo kutoka juu viwatungie kesi za uongo akina Mbowe na Adamoo hatuvijui ndio maana hatuvilaani,viko vinatembea na ma vietee wakatia akina Kingai na wenzake wanaambulia laana.
Na nadhani Akina Kingai wanaridhika na hali hiyo.

Sijui "waliomuua" tundu lisu wako wapi na wanajisikiaje leo hii.!!!?
Vijiwanasiasa viliwatuma wauaji wakamuue.

"Dunia tunapita,itakayobaki milele ni milima".
 
Hivi sasa polisi wanalaumiwa Kila sehemu,
Hivi sasa polisi wanadharaulika kika sehemu,

Wanaonekana kwamba kumbe hata wao huwa hawafuati Sheria kwenye ukamataji,lakini wao humtaka raia atii Sheria Bila shuruti.
Imebainika kwamba hawafuati PGO kwenye ukamataji.
Imebadilika kwamba kumbe hawana weledi wowote kwenye kazi zao,haijulikani kama polisi ni watu wema au ni majambazi,huko mitaani wanajadili.
Wanaonekana wabambika kesi,
Watesaji,
Wezi wa pesa za Adamoo,
Wakatiki,waonevu na Kila aina ya ubaya ni wao.
Kila kijiwe ni Kingai,Mahita,na wengineo,
Vituo vya polisi vinaonekana kama kambi za mateso badala ya kuwa vituo vya matumaini na masada kuwa raia.
Wanamapungufu yao kweli,lakini hilo la Mbowe Gaidi bado naamini kuna Vijiwanasiasa viko nyuma ya ubambikaji wa kesi hii dhidi ya Mbowe na wenzake,kwa sababu tu Mbowe ni tishio kwao hivyo Vijiwanasiasa.

Vilimbomolea Club yake,
Vikaharibu bustani sake,
Vikaiba fedha kwenye akaunti zake,
Vikafunga akaunti zake,
Na Vikamuibia kura zake za ubunge.
Vikaona Mbowe hatetereki Yuko imara na Chadema yake.
Sasa vikaja na kubwa lao,kutengeneza mashitaka kijinga kabisa Mbowe Gaidi.

Maelekezo ya Mbowe apewe kesi ya ugaidi yanatokea na Vijiwanasiasa,na kutekelezwa na polisi,na lawama zote sasa ni kwa polisi.





Hakuna anaevijua Vijiwanasiasa hivyo,viko kwao vinakula chips,biriyani,pilau na michemsho hatuvijui lakini tunawaua akina Kingai,Mahita na askari polisi wengine.
Tunawatukana,tunawalaani na tunawaombea dua mbaya wao na watoto wao,lakini Vijiwanasiasa vilivyowapa maelekezo kutoka juu viwatungie kesi za uongo akina Mbowe na Adamoo hatuvijui ndio maana hatuvilaani,viko vinatembea na ma vietee wakatia akina Kingai na wenzake wanaambulia laana.
Na nadhani Akina Kingai wanaridhika na hali hiyo.

Sijui "waliomuua" tundu lisu wako wapi na wanajisikiaje leo hii.!!!?
Vijiwanasiasa viliwatuma wauaji wakamuue.

"Dunia tunapita,itakayobaki milele ni milima".
Unao ujumbe Lee vanclif ila Lisu yuhai kwa uwezo wa Mungu Hadi leo, labda iwe ni habari ya hivi punde.
 
Sasa mbona hivyo vijiwanasiasa vinajulikana! Vingine vimekufa miezi michache iliyopita, vingine vinaendelea kudunda kwa uwezo wa Izrael wao!

Na vyote muda hujificha kwenye kichaka maarufu cha uhalifu kiitwacho si si emu.
 
Umeandika utumbo tu hapo, tuthibitishie hapa kuwa tuhuma alizopewa mbowe ni za kubambikiwa nasio porojo nyiiingi.

Kama hawakufata taratibu za ukamataji icho nikitu kingine na hakiondoi tuhuma zilizopo.

Wanasiasa wameshatuchota akili yani tumekuwa watu ambao hatuna muda wa kupima matendo na kauli zao, kwakuwa kasema Lisu Au Mbowe au Gwajima, au polepole na unamkubali basi unaamini moja kwa moja.
 
Hivi sasa polisi wanalaumiwa Kila sehemu,
Hivi sasa polisi wanadharaulika kika sehemu,

Wanaonekana kwamba kumbe hata wao huwa hawafuati Sheria kwenye ukamataji,lakini wao humtaka raia atii Sheria Bila shuruti.
Imebainika kwamba hawafuati PGO kwenye ukamataji.
Imebadilika kwamba kumbe hawana weledi wowote kwenye kazi zao,haijulikani kama polisi ni watu wema au ni majambazi,huko mitaani wanajadili.
Wanaonekana wabambika kesi,
Watesaji,
Wezi wa pesa za Adamoo,
Wakatiki,waonevu na Kila aina ya ubaya ni wao.
Kila kijiwe ni Kingai,Mahita,na wengineo,
Vituo vya polisi vinaonekana kama kambi za mateso badala ya kuwa vituo vya matumaini na masada kuwa raia.
Wanamapungufu yao kweli,lakini hilo la Mbowe Gaidi bado naamini kuna Vijiwanasiasa viko nyuma ya ubambikaji wa kesi hii dhidi ya Mbowe na wenzake,kwa sababu tu Mbowe ni tishio kwao hivyo Vijiwanasiasa.

Vilimbomolea Club yake,
Vikaharibu bustani sake,
Vikaiba fedha kwenye akaunti zake,
Vikafunga akaunti zake,
Na Vikamuibia kura zake za ubunge.
Vikaona Mbowe hatetereki Yuko imara na Chadema yake.
Sasa vikaja na kubwa lao,kutengeneza mashitaka kijinga kabisa Mbowe Gaidi.

Maelekezo ya Mbowe apewe kesi ya ugaidi yanatokea na Vijiwanasiasa,na kutekelezwa na polisi,na lawama zote sasa ni kwa polisi.





Hakuna anaevijua Vijiwanasiasa hivyo,viko kwao vinakula chips,biriyani,pilau na michemsho hatuvijui lakini tunawaua akina Kingai,Mahita na askari polisi wengine.
Tunawatukana,tunawalaani na tunawaombea dua mbaya wao na watoto wao,lakini Vijiwanasiasa vilivyowapa maelekezo kutoka juu viwatungie kesi za uongo akina Mbowe na Adamoo hatuvijui ndio maana hatuvilaani,viko vinatembea na ma vietee wakatia akina Kingai na wenzake wanaambulia laana.
Na nadhani Akina Kingai wanaridhika na hali hiyo.

Sijui "waliomuua" tundu lisu wako wapi na wanajisikiaje leo hii.!!!?
Vijiwanasiasa viliwatuma wauaji wakamuue.

"Dunia tunapita,itakayobaki milele ni milima".
Well said Mkuu
 
Sasa mbona hivyo vijiwanasiasa vinajulikana! Vingine vimekufa miezi michache iliyopita, vingine vinaendelea kudunda kwa uwezo wa Izrael wao!

Na vyote muda hujificha kwenye kichaka maarufu cha uhalifu kiitwacho si si emu.
Haiwezekani Kuwe na tukio kubwa la kigaidi linapangwa mapolisi wajue na waende kukamata magaidi wakati Waziri wao asijue.je ni nani alikua Waziri wa home affairs wakati huo?
Hivyo ndio Vijiwanasiasa.
Leo Kingai anadhalilika kupiga 260000 za Gaidi.
Na 260 za Gaidi zikafadhili chakula cha wakamataji.
260000 za Gaidi hazikuandikiwa risiti na matumizi ya chakula na Mo energy hayakutolewa risiti.
Kingai ndani ya aibu Vijiwanasiasa vimetulia tu.
Hebu fikiria 260000 ingekua 260 000 000 tusingesikia ya Hamza kweli,tena toka kwa Adamoo,??
Adamoo ni zaidi ya Hamza mara milioni na zaidi ya Kingai mara laki tano.
Pangechimbika.
 
Ni hatari sn
Na ingekua vipi kama Adamoo angekosa uvumilivu kama Hamza Kwa 260000 zake?
Kingai kapiga 260000 na kaitumia kuwanunulia wenzie msosi,haha haa halafu Adamoo kanunuliwa Mo energy na nyama ya mbuzi.
Kijimwanasiasa kimetulia tu wakati Kingai anapata fedheha.
 
Umeandika utumbo tu hapo, tuthibitishie hapa kuwa tuhuma alizopewa mbowe ni za kubambikiwa nasio porojo nyiiingi.

Kama hawakufata taratibu za ukamataji icho nikitu kingine na hakiondoi tuhuma zilizopo.

Wanasiasa wameshatuchota akili yani tumekuwa watu ambao hatuna muda wa kupima matendo na kauli zao, kwakuwa kasema Lisu Au Mbowe au Gwajima, au polepole na unamkubali basi unaamini moja kwa moja.
Ugaidi wa laki sita?
Ushahidi wa kipumbavu hivyo?
Ukitaka kumuua Sabaya unatoa tangazo la kumtafuta muuaji?
Unataka uthibitisho gani kuwa hii ni ya kubambikiziwa.
Acha uvivu wa kutumia ubongo kama walio andaa hii futuhi ya kipumbavu
 
Umeandika utumbo tu hapo, tuthibitishie hapa kuwa tuhuma alizopewa mbowe ni za kubambikiwa nasio porojo nyiiingi.

Kama hawakufata taratibu za ukamataji icho nikitu kingine na hakiondoi tuhuma zilizopo.

Wanasiasa wameshatuchota akili yani tumekuwa watu ambao hatuna muda wa kupima matendo na kauli zao, kwakuwa kasema Lisu Au Mbowe au Gwajima, au polepole na unamkubali basi unaamini moja kwa moja.
Sasa wewe ndo umeandika nini,yaani wewe ndo umeandika kile kinachokaa ndani ya utumbo.
Polisi wanatuhimizaga tutii Sheria Bila shuruti,wakati wao hawafuati Sheria.
Wamewakamata watuhumiwa wakaanza kuwatesa sasa je mahakama ikiwaona hawana hatia nani atalipa mateso yao?
Yaani mamlaka ya kuhukumu ni mahakama,wao tayari wameshawahukumu kwa kuwapa adhabu ya vipigo Bila kuwapeleka hospital na kuwanyima chakula.
Kuchukua pesa zao Bila kuziandikia risiti.
Kumnunulia Gaidi mo energy na mbuzi.
Unateteta ujinga na nadhani wewe ni umeathiriwa na siasa za uonevu za mwanasiasa wako wa karne mwendazake kutokufuata Sheria.
Kila kitu kwake yeye ilikua ni dhulman,uchaguzi dhulman,kesi dhulma
 
Umeandika utumbo tu hapo, tuthibitishie hapa kuwa tuhuma alizopewa mbowe ni za kubambikiwa nasio porojo nyiiingi.

Kama hawakufata taratibu za ukamataji icho nikitu kingine na hakiondoi tuhuma zilizopo.

Wanasiasa wameshatuchota akili yani tumekuwa watu ambao hatuna muda wa kupima matendo na kauli zao, kwakuwa kasema Lisu Au Mbowe au Gwajima, au polepole na unamkubali basi unaamini moja kwa moja.
Ushahidi ni kwamba sabaya ndiye aliyeshirikiana na kingai.
Alitoka ushahidi wake dhidi ya matumizi yake mabaya ya madaraka na nyangasa,'anyi wa kutumia silaha alisema ameishi mama mtumwa kwenye nchi yake na kwamba amefanyiwa majaribio 3 ya kuuwawa. Haya aliyatamka pia akiwa clouds TV alisema sababu ni siasa za hai.
Kwenye hilo shitaka la kutunga la mbowe pia anatakiwa kuwa ilikuwa auwawe.
Sasa hapo unahitaji ushahidi gani zaidi kujua kwamba sabaya amehusika???
Kingai alikuwa arusha sabaya hai... hata uporaji alifanya arusha kingai kuwepo!!!!!
 
Sasa wewe ndo umeandika nini,yaani wewe ndo umeandika kile kinachokaa ndani ya utumbo.
Polisi wanatuhimizaga tutii Sheria Bila shuruti,wakati wao hawafuati Sheria.
Wamewakamata watuhumiwa wakaanza kuwatesa sasa je mahakama ikiwaona hawana hatia nani atalipa mateso yao?
Yaani mamlaka ya kuhukumu ni mahakama,wao tayari wameshawahukumu kwa kuwapa adhabu ya vipigo Bila kuwapeleka hospital na kuwanyima chakula.
Kuchukua pesa zao Bila kuziandikia risiti.
Kumnunulia Gaidi mo energy na mbuzi.
Unateteta ujinga na nadhani wewe ni umeathiriwa na siasa za uonevu za mwanasiasa wako wa karne mwendazake kutokufuata Sheria.
Kila kitu kwake yeye ilikua ni dhulman,uchaguzi dhulman,kesi dhulma
Siku ukijua watuhumiwa wa kesi kubwa kama izo wanahojiwa vipi hutaleta tena izo porojo

Mtuhumiwa wa ujambazi, uasi, ugaidi, haojiwi kama mwizi wakuku na usipotumia mbinu mbadala hutaambulia chochote.

Hata hao makomando wanaelewa na wanapitia mafunzo ya kumbana adui adi aseme ukweli lakini pia wanapitia mafunzo yatayowasaidia kuvumilia mateso ili akiingia mikononi mwa adui isiwe rahisi kutoa siri, sasa mtu kama huyu mwenye mafunzo ya kijeshi ukamuhoji kama unataka kuoa kwao utaambulia kupoteza muda
 
Back
Top Bottom