Kwani muhammad alikuwa anaongea na wakristo? Maandiko ya waislamu ni kwa ajili ya waislamu na ya wakristo ni Kwa ajili ya wakristo ndio umeona ya wakristo yanasema tunalindwa na Malaika na waislamu yanasema mnalinwa na mapepoSijui Ni Lugha Ya Kiingereza Imekuchanganya
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
Each One Of You And Not Each Muslim,Je Kama Each One Of you Wanaambiwa Wasio Waislamu.
Biblia inakuhusu wewe muislamu?Sijui Ni Lugha Ya Kiingereza Imekuchanganya
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
Each One Of You And Not Each Muslim,Je Kama Each One Of you Wanaambiwa Wasio Waislamu.
Kama huwezi waambia Siri ya roho Mt je unaweza kuwahubiria wapokee wokovu?Roho Mtakatifu ndio kipind chake sasa,kama kanisa tunatakiwa jua hlo kama mtoa maana ulivosema..bila yy Kwa sasa mamb hayaendi kabisa..
Ushuhuda,, before sijamjua nilikua nakula sana loss ktk biashara yangu ya mikopo na ilifika kipind nataka rudisha lesen na kufunga ofisi sabb watu wanakopa ndio ila ulipaji ni wa kusumbuana sana..
Baadae ya kufatilia maandiko nikapata neema ya kumjua uyu Roho Mtakatifu aiseeee mamb yamebadilika jumla,, before Mtu sijamwidhinishia mkopo naenda kumuuliza nimpe au nisimpe..ananipa majibu yupi apewe mkopo na yupi asipewe..since then sijawah sumbuliwa kurejeshewa na sijawah dhulumiwa tena..afu wateja kama wote..wapinzan wananifatilia wanazan nimepata mganga amenisaidia hawajui nachojua mm nipo nawazooom tuu na sitowaambia Siri!!!
Kama huwezi waambia Siri ya roho Mt je unaweza kuwahubiria wapokee wokovu?
Wanahubiriwa Kila siku kwenye nyumba zao za ibada habar za wokovu..asa kama hawajawasikiliza wachungaji wao na wainjilisti...mm ni nani mpaka wanisikilize??Kama huwezi waambia Siri ya roho Mt je unaweza kuwahubiria wapokee wokovu?
Kwa hiyo Mungu Analeta Dini Ngumu Kuielewa Ili Atuchome Moto?
Kwenye Uislamu Vitu Ni rahisi Kuelewa Na viko Very Straight.
Mungu Mmoja Hafafani Na chochote Na Ndo Maana Tunamuabudu,Kitu cha Tofauti Na sisi,Hiyo Ndo Sifa ya Mungu Tofauti Na Hapo Huyo sio Mungu
Asante na mie ushanipa siri😂😂😂Roho Mtakatifu ndio kipind chake sasa,kama kanisa tunatakiwa jua hlo kama mtoa maana ulivosema..bila yy Kwa sasa mamb hayaendi kabisa..
Ushuhuda,, before sijamjua nilikua nakula sana loss ktk biashara yangu ya mikopo na ilifika kipind nataka rudisha lesen na kufunga ofisi sabb watu wanakopa ndio ila ulipaji ni wa kusumbuana sana..
Baadae ya kufatilia maandiko nikapata neema ya kumjua uyu Roho Mtakatifu aiseeee mamb yamebadilika jumla,, before Mtu sijamwidhinishia mkopo naenda kumuuliza nimpe au nisimpe..ananipa majibu yupi apewe mkopo na yupi asipewe..since then sijawah sumbuliwa kurejeshewa na sijawah dhulumiwa tena..afu wateja kama wote..wapinzan wananifatilia wanazan nimepata mganga amenisaidia hawajui nachojua mm nipo nawazooom tuu na sitowaambia Siri!!!
Yesu anasema:
Yn 17:3 SUV
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.