Roho Mtakatifu na Mwamini

Roho Mtakatifu na Mwamini

Sijui Ni Lugha Ya Kiingereza Imekuchanganya

, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814

Each One Of You And Not Each Muslim,Je Kama Each One Of you Wanaambiwa Wasio Waislamu.
Kwani muhammad alikuwa anaongea na wakristo? Maandiko ya waislamu ni kwa ajili ya waislamu na ya wakristo ni Kwa ajili ya wakristo ndio umeona ya wakristo yanasema tunalindwa na Malaika na waislamu yanasema mnalinwa na mapepo
 
Kwenye biblia Hakuna Mungu Baba , Mungu mwana , Na Mungu roho matakatifu

Kuna kwa jina la Baba Na la mwana Na la roho matakatifu

Kwa Akili za wanadamu fulani waliongeza vyao wakaona Waite vyote Mungu
 
Sijui Ni Lugha Ya Kiingereza Imekuchanganya

, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814

Each One Of You And Not Each Muslim,Je Kama Each One Of you Wanaambiwa Wasio Waislamu.
Biblia inakuhusu wewe muislamu?
Jehovah kasema tunalindwa na Malaika na Allah kasema mnalindwa na mapepo
Soma
Wakristo wanalindwa na Malaika
Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.

Waislamu wanalindwa na mapepo
Allah anasema
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
 
Roho Mtakatifu ndio kipind chake sasa,kama kanisa tunatakiwa jua hlo kama mtoa maana ulivosema..bila yy Kwa sasa mamb hayaendi kabisa..

Ushuhuda,, before sijamjua nilikua nakula sana loss ktk biashara yangu ya mikopo na ilifika kipind nataka rudisha lesen na kufunga ofisi sabb watu wanakopa ndio ila ulipaji ni wa kusumbuana sana..

Baadae ya kufatilia maandiko nikapata neema ya kumjua uyu Roho Mtakatifu aiseeee mamb yamebadilika jumla,, before Mtu sijamwidhinishia mkopo naenda kumuuliza nimpe au nisimpe..ananipa majibu yupi apewe mkopo na yupi asipewe..since then sijawah sumbuliwa kurejeshewa na sijawah dhulumiwa tena..afu wateja kama wote..wapinzan wananifatilia wanazan nimepata mganga amenisaidia hawajui nachojua mm nipo nawazooom tuu na sitowaambia Siri!!!
Kama huwezi waambia Siri ya roho Mt je unaweza kuwahubiria wapokee wokovu?
 
Unahisi Uislam ulianzaje?
Kwa hiyo Mungu Analeta Dini Ngumu Kuielewa Ili Atuchome Moto?

Kwenye Uislamu Vitu Ni rahisi Kuelewa Na viko Very Straight.
Mungu Mmoja Hafafani Na chochote Na Ndo Maana Tunamuabudu,Kitu cha Tofauti Na sisi,Hiyo Ndo Sifa ya Mungu Tofauti Na Hapo Huyo sio Mungu
 
Roho Mtakatifu ndio kipind chake sasa,kama kanisa tunatakiwa jua hlo kama mtoa maana ulivosema..bila yy Kwa sasa mamb hayaendi kabisa..

Ushuhuda,, before sijamjua nilikua nakula sana loss ktk biashara yangu ya mikopo na ilifika kipind nataka rudisha lesen na kufunga ofisi sabb watu wanakopa ndio ila ulipaji ni wa kusumbuana sana..

Baadae ya kufatilia maandiko nikapata neema ya kumjua uyu Roho Mtakatifu aiseeee mamb yamebadilika jumla,, before Mtu sijamwidhinishia mkopo naenda kumuuliza nimpe au nisimpe..ananipa majibu yupi apewe mkopo na yupi asipewe..since then sijawah sumbuliwa kurejeshewa na sijawah dhulumiwa tena..afu wateja kama wote..wapinzan wananifatilia wanazan nimepata mganga amenisaidia hawajui nachojua mm nipo nawazooom tuu na sitowaambia Siri!!!
Asante na mie ushanipa siri😂😂😂
 
Yesu anasema:

Yn 17:3 SUV​

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Uko sahihi kabisa kwamba MUUMBA ni mmoja na sio nafsi tatu, ila wakristo wengi hawajui ndo maana katika kitabu ikaandikwa Zekari 14:9 “Naye Bwana atakuwa Mfalme juu ya nchi yote; siku hiyo Bwana atakuwa mmoja, na jina lake moja.”

Lakini pia inathibitishwa kwamba ni mmoja ukisoma

1Korintho 15:24-28

28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana(Yesu) mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.”[B/]
 
Back
Top Bottom