Roho Mtakatifu ndio kipind chake sasa,kama kanisa tunatakiwa jua hlo kama mtoa maana ulivosema..bila yy Kwa sasa mamb hayaendi kabisa..
Ushuhuda,, before sijamjua nilikua nakula sana loss ktk biashara yangu ya mikopo na ilifika kipind nataka rudisha lesen na kufunga ofisi sabb watu wanakopa ndio ila ulipaji ni wa kusumbuana sana..
Baadae ya kufatilia maandiko nikapata neema ya kumjua uyu Roho Mtakatifu aiseeee mamb yamebadilika jumla,, before Mtu sijamwidhinishia mkopo naenda kumuuliza nimpe au nisimpe..ananipa majibu yupi apewe mkopo na yupi asipewe..since then sijawah sumbuliwa kurejeshewa na sijawah dhulumiwa tena..afu wateja kama wote..wapinzan wananifatilia wanazan nimepata mganga amenisaidia hawajui nachojua mm nipo nawazooom tuu na sitowaambia Siri!!!