Roho Mtakatifu na Mwamini

Roho Mtakatifu na Mwamini

Umeingia sehem ambayo huielewi ILa unajifanya kuielewa. Sasa maandiko yanasema mpumbavu aachwe na upumbavu wake
Ndo Alivowafundisha Paulo Ila Sisi Kwetu mpumbavu Anafundishwa kama Navokufundisha Labda Huenda Ukanielewa Maana Kila Mtu Huwa Ni Mjinga Mpaka Apewe Elimu Juu ya Kitu fulani
Kama Tungefuata Hayo Maandiko Ya Mpumbavu muache Na Upumbavu wake Basi Dunia Nzima Ingekuwa Na Wapumbavu.

Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Hata Yesu Alitumwa Kwa Watu waliopotea(Wapumbavu) Ili Wawe Na elimu wasiendelee Kupotea
Nakushangaa Wewe Unakinzana na yesu
 
Kwa jina la baba, na la mwana na la roho mtakatifu.

Tuombe:

Uje Roho Mtakatifu, tuangaze toka mbingu
Roho zetu kwa mwangao

Uje Baba wa maskini, uje mtoa wa vipaji
Uje mwanga wa mioyo

Ee Mfariji mwema sana, ee rafiki mwanana
Ewe raha mustarehe

Kwenye kazi u pumziko, kwenye joto, burudiko
U mfutaji wa machozi

Ewe mwanga wenye heri, uwajaze waamini
Neema yako mioyoni

Bila nguvu yako wewe, mwanadamu hana kitu
Kwake yote yana kosa

Osha machafuko yetu, panyeshee pakavu petu
Na kuponya majeraha

Ulegeze ukaidi, washa moto wa uadili
Nyoosha upotevu wote

Wape waumini wako, wenye tumaini kwako
Paji zako zote saba

Wape tuzo ya fadhila, wape mwisho bila hila
Wape heri ya milele

Amina aleluya, amina aleluya,
Amina aleluya
 
Hata haujakimbiwa..Unanyongeza au swali wadau waendelea kukupatia unachokihitaji kukisikia.?
Hakuna jipya ni abracadabra zilezile tu,za Mungu kushuka duniani Kisha kudundwa na jakobo akitaka ambariki, Mungu akapakachuliwa Paja akambariki yakobo, Mungu kwenye biblia katukanwa na kuzushiwa sana
 
Hakuna jipya ni abracadabra zilezile tu,za Mungu kushuka duniani Kisha kudundwa na jakobo akitaka ambariki, Mungu akapakachuliwa Paja akambariki yakobo, Mungu kwenye biblia katukanwa na kuzushiwa sana
Mwanzo 32:28
Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.

Mungu wa Biblia Huyo kapigwa Na Yakobo.
Yakobo alipoona Mungu anataka kumshinda Yakobo Akamshika Mungu chini Ya uvungu wa Paja(Korodani) Mungu akasurrender.

Acheni Ushabiki,Ubishi na Kurithi Dini kwa Wazazi Angalieni Ipi Ni Dini Ya Haki,Maneno Ya Biblia Yalishaharibiwa Kitambo
Na Ndo Maana Leo Tunabiblia Kibao King James,American Extended Version,Union Version n.k Na Zimepishana Idadi Ya Vitabu watu wanatoa Baadhi ya Maandiko,Wanayapunguza Kwa Faida zao na Baadhi ya Vifungu Vilivyobaki Wanaviharibu kuchafua injili aliyopewa Nabii Issa,torati aliyopewa Mussa na Zaburi aliyopewa Nabii Daudi.
Kwa Hakika Quran Imekuja Kurekebisha Yale yalioharibiwa

Yeremia 8:8
Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya BWANA tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.
 
HAKUNA KITU KINAITWA UTATU MTAKATIFU.

UTATU MTAKATIFU ni Mafundisho ya Babeli(Mafundisho ya uongo na ushetani)

Hakuna kitu kinaitwa UTATU MTAKATIFU.

OGOPA sana Mafundisho ya ROMAN.
 
Mimi Mwenyewe Sielewi mara Mungu Yupo Kwenye Utatu Ana Nafsi Tatu,Mara Yesu Ndo Mungu Mwenyewe Mara Yesu Yeye Ni Mtoto wa Mungu Mama yake Mariam Yaani Taflan

Kuna vingi tulikuwa hatuvijui hasa majira na nyakati ya kanisa ndo maana ilikuwa ngumu kuelewa.

Muumba ni mmoja tu sio wa nafsi tatu.
 
Hakuna jipya ni abracadabra zilezile tu,za Mungu kushuka duniani Kisha kudundwa na jakobo akitaka ambariki, Mungu akapakachuliwa Paja akambariki yakobo, Mungu kwenye biblia katukanwa na kuzushiwa sana

Kuna miungu mingi sana kwenye kitabu hata mussa alikuwa ni mungu ndo maana Muumba akasema katika Yeremia 10:11 “Mtawaambia hivi, Miungu hiyo isiyofanya mbingu na nchi, hiyo itaangamia katika nchi, nayo itatoweka chini ya mbingu.”
 
Mwanzo 32:28
Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.

Mungu wa Biblia Huyo kapigwa Na Yakobo.
Yakobo alipoona Mungu anataka kumshinda Yakobo Akamshika Mungu chini Ya uvungu wa Paja(Korodani) Mungu akasurrender.

Acheni Ushabiki,Ubishi na Kurithi Dini kwa Wazazi Angalieni Ipi Ni Dini Ya Haki,Maneno Ya Biblia Yalishaharibiwa Kitambo
Na Ndo Maana Leo Tunabiblia Kibao King James,American Extended Version,Union Version n.k Na Zimepishana Idadi Ya Vitabu watu wanatoa Baadhi ya Maandiko,Wanayapunguza Kwa Faida zao na Baadhi ya Vifungu Vilivyobaki Wanaviharibu kuchafua injili aliyopewa Nabii Issa,torati aliyopewa Mussa na Zaburi aliyopewa Nabii Daudi.
Kwa Hakika Quran Imekuja Kurekebisha Yale yalioharibiwa

Yeremia 8:8
Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya BWANA tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.


QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Mungu Ni Mmoja Hawezi Exist Kama Kama Roho Mtakatifu pia kama Binadamu

Hosea 11:9
Sitatumia ukali wa hasira yangu, sitarudi kumwangamiza Efraimu; kwa maana mimi ni Mungu, si mwanadamu mimi; mimi ndiye aliye Mtakatifu katikati yenu; wala sitaingia ndani ya mji.

Mungu Anasema yeye Ni Mungu na si Mwanadamu,Mungu kautakaa Ubinadamu Baada Ya hapo aje Tena Kama binadamu wakati Kashajitapa Kwa watu Kama yeye Ni Mungu.Mungu Wa Aina gani Huyu mimi Mwenyewe Ningemdharau Mungu Wa Namna hii Kwa sababu Kajitofautisha na sisi Alafu baadae Kaja Kama sisi Tena.

Pia Kwenye Nafsi tatu Mmmh Ngoja tuone Maandiko.

Amosi 6:8
Bwana MUNGU ameapa kwa nafsi yake, asema BWANA, Mungu wa majeshi; Naizira fahari ya Yakobo, nachukizwa na majumba yake; kwa sababu hiyo nitautoa huo mji, pamoja na wote waliomo ndani yake.

Mungu ameapa Kwa nafsi yake Na Si Nafsi Zake, Hizo Tatu Unazosema.
Mungu ana Nafsi Moja Na Kaapa Kwa nafsi Yake Moja.

MUHAMMAD ALISEMA WAISLAMU WATAGANYIKA MADHEHEBU 73 NA WOTE 73 WATAKUWA NDANI YA JEHANAMU NA MOJA LINAKWENDA PEPONI SWALI YUPI ATAINGIA PEPONI KATI YA MADHEHEBU 73?

HII NDIYO ORODHA KAMILI YA MADHEHEBU 73 YA KIISLAMU NA MSIMAMO WA KILA MMOJA



MUHAMMAD AMEKIRI KUWA ATAKWENDA JEHANAMU NA WAISLAMU WATATUPWA JAHANAMU WOTE

Imesimuliwa na Abu Huraira;

Muhammad anasema: Waislam wakamuuliza, Nabii wa Allah tutamuona Bwana wetu? Nabii akawajibu, je mna khofu ya kuona Mwezi mzima kwenye usiku usiyo na mawingu? Wakamjibu hapana. Nabii wa Allah akasema tena, je mna khofu ya kuona Jua siku ambayo haina mawingu? Wakajibu kwa kukataa. Nabii wa Allah akasema, kwenye siku ya ufufuo watu watakusanyika makundi kwa makundi. Mtamuona Allah. Waabudu Mwezi wata ufuata Mwezi. Waabudu Jua watalifuata Jua. Na wengine watafuata miungu yao. Lakini Waislam wote watabakia nyuma pamoja na mimi. Waislam wakamuuliza Nabii wa Allah, tubakie hapa mpaka tutakapo muona Bwana wetu. Ndipo Allah atakuja na kusema mimi ni Bwana wenu. Na Wakamjibu hakika wewe ni Bwana wetu. Ndipo Allah ataweka Daraja kuelekea Jehannam na Mimi Muhammad nitakuwa wa kwanza kuingia kwenye daraja na wafuasi wangu wote watanifuata. Mimi Muhammad nitakuwa wa kwanza wa Manabii kutupwa ndani ya Jehanamu Na kisha Waislam watatupwa wote jehanamu na wataakuwa wakisema Ooo Allah tuokoe, Oooh Allah tuokoe

Sahih Bukhari 12 Juzuu Ya 001, kitabu 012, Hadithi Namba 770.

رواه أبو هريرة. يقول محمد: سأله المسلمون: يا رسول الله هل نرى ربنا؟ أجاب النبي: "هل تخشى أن ترى البدر في ليلة صافية؟" أجابوه بالنفي. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: هل تخافون من رؤية الشمس في يوم لا يوجد فيه غيوم؟ فأجابوا بالكفر. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم يوم القيامة يجتمع الناس في جماعات. سترى الله. عبّاد القمر سيتبعون القمر. سوف يتبع عبدة الشمس الشمس. وسيتبع آخرون آلهتهم. لكن كل المسلمين سيتركون معي. طلب المسلمون من نبي الله أن نبقى هنا حتى نرى ربنا. ثم يأتي الله ويقول أنا ربك. فقالوا: ((أنت ربنا)). ثم يقيم الله الجسر إلى الجحيم وأنا محمد سأكون أول من يدخل الجسر ويتبعني جميع أتباعي. أنا محمد سأكون أول الأنبياء الذين يلقون في جهنم ، وبعد ذلك سيُلقى كل المسلمين في جهنم وسيقولون اللهم احفظنا ، اللهم احفظنا. صحيح البخاري 12 المجلد 001 ، الكتاب 012 ، الحديث رقم 770.



ALLAH HATAWAOKOA WAISLAMU SIKU YA KIYAMA MAANA NA YEYE ATAKUWA NDANI YA JEHANAMU USHAHIDI HUU HAPA NA HATATOKA HUMO
KWA KISWAHILI

Mtume alisema watu watatupwa Jahanamu, naye Allah ataiuliza Jahanamu akisema, Je umejaa nayo Jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu (Quran 50:30)? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake ndani ya Jehanamu nayo Jahanamu itasema inatosha! Inatosha Qat Qat.
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏

Sahih al-Bukhari 4848 Juzuu ya 6 kiasi cha 60, Hadithi 371


MWISHO WA SOMO

YESU KRISTO NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA WA MILELE NA NDIYO MAANA QUR'AN YENU IMETHIBITISHA WAKRISTO WANAPATA UZIMA WA MILELE

Yohana 14:6“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Yohana 14:6“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
 
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????


Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni


وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

allah mwenyewe makazi yake ni motoni!

Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369

Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
 
Sijasoma vizuri mada, ila kama Wakristo wanavyo mtaja na kumtegemea Roho Mtakatifu.

Wenzetu wana yataja na kuyategemea Majini.
Wale watoto wadogo wanaozaliwa huku wakiijua Qurani na lugha mbalimbali huwa wanapandwa na Majini ya ukoo wa Sharifu.

Ndio maana wanaitwa Masharifu, na pamoja na akili zao zote zile na kuijua kwao Qurani wanaishia kuwa Waganga wa Kienyeji, Wapiga Ramli na Warozi.
Mfano. Sharifu Majini.
Waislamu Roho Mtakatifu wao ni Majini.
Wakipagawa na Majini Sharifu ndio wanakuwa Waalimu Mahili wa Dini ya Kiislamu.

Surah Al-Djini : Ayah 14

وَأَنَّا مِنَّا ٱلۡمُسۡلِمُونَ وَمِنَّا ٱلۡقَٰسِطُونَۖ فَمَنۡ أَسۡلَمَ فَأُوْلَٰٓئِكَ تَحَرَّوۡاْ رَشَدٗا
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.
..............

Kwenye Kitabu chao Kitukufu Wameyatukuza sana Majini hadi wakayapa Sura nzima,
Sura ya Majini.
Huko misikitini kumejaa makundi ya Majini yaki mswalia Allah.

Eti Majini ndio Waislamu wenzao wazuri.
Yalaaaah..... Rabi.
 
Shalom Shalom.

Habari ya jioni. Hongereni kwa Ibada na mapumziko ya wikendi. Leo naomba kwa uchache tushirikishane juu ya Roho Mtakatifu. Kama sehemu ya Utatu mtakatifu yaani Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu.

Ikiwa wiki moja imetimia sasa tangu sherehe ya pentekoste. Kuna mambo ningependa tushirikishane kwa wale ambao teyari wameshamwamini Yesu Kristo(Wakati mwingine nitaongelea Roho mtakatifu na wale ambao bado hawaamini).

Kumekuwa na mafundisho mengi sana juu ya Roho mtakatifu ambayo kwa sehemu kubwa yameishia kwenye nadharia na sio vitendo halisi vya kuona udhiirishwaji wa kile ambacho kimekuwa kikifundishwa au kuhubiriwa. Kiuhalisia Roho Mtakatifu ndo kila kitu kwenye kanisa la leo katika kumuishi Yesu Kristo kwa uthabiti na uhakika pasipo yeye ukristo unakuwa mzigo mzito sana na mwishoe ni kujipata kwenye misingi ya sheria zaidi. Kama waamini tutajidhatiti kuwa chini ya maongozo yake (Mungu Roho mtakatifu) hakuna namna yale ambayo Bwana Yesu aliahidi kuwa tutayafanya zaidi yake yatashindikanika.

Yako Mengi ya kuyaongea juu ya Mungu Roho Mtakatifu juu ya utendaji wake, na mengi yanayo muhusi kwa namna ya kawaida ambayo kwa hakika kila ataweka nia kufanya majaribio ataona matokeo. Kumbuka ni kupitia nguvu na uweza wa Roho mtakatifu ndimo karama na vipawa vyote hufanya kazi na hata ile hali ya ushuhuda halisi wa mwamini kuthibitika.

Nafahamu hapa watu wengi tu wamekuwa encountered na Roho mtakatifu hivyo maswali yatakayo ulizwa nina hakika yajibiwa kwa kina .Karibuni kwa michango na Maswali..
Wapi kwenye biblia kumeongelea "utatu"?
 
Roho Mtakatifu ndio kipind chake sasa,kama kanisa tunatakiwa jua hlo kama mtoa maana ulivosema..bila yy Kwa sasa mamb hayaendi kabisa..

Ushuhuda,, before sijamjua nilikua nakula sana loss ktk biashara yangu ya mikopo na ilifika kipind nataka rudisha lesen na kufunga ofisi sabb watu wanakopa ndio ila ulipaji ni wa kusumbuana sana..

Baadae ya kufatilia maandiko nikapata neema ya kumjua uyu Roho Mtakatifu aiseeee mamb yamebadilika jumla,, before Mtu sijamwidhinishia mkopo naenda kumuuliza nimpe au nisimpe..ananipa majibu yupi apewe mkopo na yupi asipewe..since then sijawah sumbuliwa kurejeshewa na sijawah dhulumiwa tena..afu wateja kama wote..wapinzan wananifatilia wanazan nimepata mganga amenisaidia hawajui nachojua mm nipo nawazooom tuu na sitowaambia Siri!!!
Majinni hayo hakuna cha roho mtaktifu hapo.
 
Woah.Hallelujah. Hongera sana kwa mafunuo uliyopata juu ya Holy spirit huwezi baki vile vile hata kidogo kwenye maisha yako kiujumla pale unapo surrender kila jambo lako kwake..(Yohana 16:13)

Kwahakika iko siri kubwa sana katika kumfahamu kwa kina na hapa ndipo ilipo siri ya ukristo na hata namna njema ya hata kufanya ibada zetu mbeze za Mungu..
Hakika umenena vyema
 
Hiki watu wengi hawajakijua. Hakuna miungu mitatu kwenye Biblia ila kuna Mungu mmoja anayejifunza katika nafsi 3 kwa kulingana anataka fanya nini (Mission gani). Aliposema Baba inamaanisha Elohim alipojifunua kama (Muumbaji) aliposema Mwana ina maana Yeheshua (Mkombozi) au Neno katika uumbaji na alipojifunua kama Roho Mtakatifu(Hapa akimaanisha ukamilishaji wa misioni husika) kwenye uumbaji na ukombozi.
Mathayo 28:18-20 aliposema Mtawabatiza kwa Jina la Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu akimaanisha Mungu kujifunua katika nafsi tatu kwa kulingana na misioni. Hii ni sawa na Maji. Maji yakiwa kwenye Liquid state ni Maji. Yakiwa kwenye Gas state ni Mvuke na solid state ni Barafu ila yote ni Maji mkuu.
Yesu anasema:

Yn 17:3 SUV​

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
 
Una nyegere wewe tafuta bwana Iman sio Yako unaropoka tu tukisema nyie ndiyo wafuga majin unakasirika
Tunataka muwache kumshirikisha Mungu, Yesu anasema:

Yn 17:3 SUV​

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
 
Back
Top Bottom