Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Majini yanasoma vizuri Qurani kupita watu.
The Case Study of Shehe Sharifu Majini.
The Case Study of Shehe Sharifu Majini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh mzee saa 3:31 uliingia jamii forums.🤔🤔Majini yanasoma vizuri Qurani kupita watu.
The Case Study of Shehe Sharifu Majini.
Mi kazi zangu ni za Usiku Mkuu.duh mzee saa 3:31 uliingia jamii forums.[emoji848][emoji848]
Unautafsiri ukristu kwenye pesrpective ya MuhammadNdo Matatizo Ya dini Ya Paulo,
Matendo ya Mitume 7:55
Lakini yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kuume wa Mungu.
Yesu(Neno) Kasimama Upande Wa Kuume(Kulia)Wa Mungu na Sio Mungu Kasimama upande Wa kulia Wa mungu.
Jaribu Kuelewa Maandiko Hapo Yesu(Neno)hausishwi Na Umungu,Amesimama Upande wa Kulia wa Yule Anayeitwa Mungu
Kutoka 20:3
Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Marko 12:29
Yesu akamjibu, Ya kwanza ndiyo hii, Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja;
1 Timotheo 2:5
[Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;
Naomba Andiko linalosema yesu Ni Mungu au Yesu Mumwabudu Au Yesu anasema yy Ni Miongoni mwa Miungu
Endelea kumwabudu Allah mwenye nafsi moja waachie wakristu na Mungu wao mwenye nafsi tatu. Maana yake imesemwa hakuna Mungu isipokuwa allah. Huyo Mungi anayesemwa hayupo ana nafsi tatuHakuna jipya ni abracadabra zilezile tu,za Mungu kushuka duniani Kisha kudundwa na jakobo akitaka ambariki, Mungu akapakachuliwa Paja akambariki yakobo, Mungu kwenye biblia katukanwa na kuzushiwa sana
Injili ya nabii issa naipataje?Mwanzo 32:28
Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.
Mungu wa Biblia Huyo kapigwa Na Yakobo.
Yakobo alipoona Mungu anataka kumshinda Yakobo Akamshika Mungu chini Ya uvungu wa Paja(Korodani) Mungu akasurrender.
Acheni Ushabiki,Ubishi na Kurithi Dini kwa Wazazi Angalieni Ipi Ni Dini Ya Haki,Maneno Ya Biblia Yalishaharibiwa Kitambo
Na Ndo Maana Leo Tunabiblia Kibao King James,American Extended Version,Union Version n.k Na Zimepishana Idadi Ya Vitabu watu wanatoa Baadhi ya Maandiko,Wanayapunguza Kwa Faida zao na Baadhi ya Vifungu Vilivyobaki Wanaviharibu kuchafua injili aliyopewa Nabii Issa,torati aliyopewa Mussa na Zaburi aliyopewa Nabii Daudi.
Kwa Hakika Quran Imekuja Kurekebisha Yale yalioharibiwa
Yeremia 8:8
Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya BWANA tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.
Enendeni duniani kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu mkiwabatiza kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu.Wapi kwenye biblia kumeongelea "utatu"?
Unachnganya sana kuna tofauti kubwa sana kati ya Mungu na allah.Tunataka muwache kumshirikisha Mungu, Yesu anasema:
Yn 17:3 SUV
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Ni ajabu sana.Unachnganya sana kuna tofauti kubwa sana kati ya Mungu na allah.
"Hakuna Mungu isipokuwa allah
Unapata kwa kuomba kwa Imani, hakikisha unaomba Toba ya kweli,Ngoja kwanza...!
Huyo roho mtakatifu mnampataje?
Hapana majin sijawah yafatilia, Wala siyajui ni Roho Mtakatifu sababu hata process za kumpata uyo Roho Mtakatifu nilizoapply nilitumia biblia..Majinni hayo hakuna cha roho mtaktifu hapo.
Shalom Shalom.
Habari ya jioni. Hongereni kwa Ibada na mapumziko ya wikendi. Leo naomba kwa uchache tushirikishane juu ya Roho Mtakatifu. Kama sehemu ya Utatu mtakatifu yaani Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu.
Ikiwa wiki moja imetimia sasa tangu sherehe ya pentekoste. Kuna mambo ningependa tushirikishane kwa wale ambao teyari wameshamwamini Yesu Kristo(Wakati mwingine nitaongelea Roho mtakatifu na wale ambao bado hawaamini).
Kumekuwa na mafundisho mengi sana juu ya Roho mtakatifu ambayo kwa sehemu kubwa yameishia kwenye nadharia na sio vitendo halisi vya kuona udhiirishwaji wa kile ambacho kimekuwa kikifundishwa au kuhubiriwa. Kiuhalisia Roho Mtakatifu ndo kila kitu kwenye kanisa la leo katika kumuishi Yesu Kristo kwa uthabiti na uhakika pasipo yeye ukristo unakuwa mzigo mzito sana na mwishoe ni kujipata kwenye misingi ya sheria zaidi. Kama waamini tutajidhatiti kuwa chini ya maongozo yake (Mungu Roho mtakatifu) hakuna namna yale ambayo Bwana Yesu aliahidi kuwa tutayafanya zaidi yake yatashindikanika.
Yako Mengi ya kuyaongea juu ya Mungu Roho Mtakatifu juu ya utendaji wake, na mengi yanayo muhusi kwa namna ya kawaida ambayo kwa hakika kila ataweka nia kufanya majaribio ataona matokeo. Kumbuka ni kupitia nguvu na uweza wa Roho mtakatifu ndimo karama na vipawa vyote hufanya kazi na hata ile hali ya ushuhuda halisi wa mwamini kuthibitika.
Nafahamu hapa watu wengi tu wamekuwa encountered na Roho mtakatifu hivyo maswali yatakayo ulizwa nina hakika yajibiwa kwa kina .Karibuni kwa michango na Maswali..
Allah Kwa sis wakristo aexist I mean hayupo Wala hatumtambui...tupo bize na Roho Mtakatifu nafsi ya tatu ya Mungu,,anatusaidia sana mamb yetu karibu na wwEndelea kumwabudu Allah mwenye nafsi moja waachie wakristu na Mungu wao mwenye nafsi tatu.Manake imesemwa hakuna Mungu isipokuwa allah.Huyo Mungi anayesemwa hayupo ana nafsi tatu
Adventist kila msichoamini ni mafundisho ya Roman...poleniHAKUNA KITU KINAITWA UTATU MTAKATIFU.
UTATU MTAKATIFU ni Mafundisho ya Babeli(Mafundisho ya uongo na ushetani)
Hakuna kitu kinaitwa UTATU MTAKATIFU.
OGOPA sana Mafundisho ya ROMAN.
Roho mtakatifu anapatikana kwa imani pale unapomkiri Yesu kristo kama Bwana na Mwokozi/Pale unapoamini juu ya ujio wake Duniani na kuwa alizaliwa, akafa na kisha akafufuka na akapaa kwenda Mbinguni.Ngoja kwanza...!
Huyo roho mtakatifu mnampataje?
Kunasehemu nililuwa nasoma wao pia wanaamini labda kuna namna wanaweza kuwa wanatofautiana katika mafundisho.Adventist kila msichoamini ni mafundisho ya Roman...poleni
Barikiwa.1 Yohana 5:7-8
[7]Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.
[8]Kwa maana wako watatu washuhudiao [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.
Mmmh! Ni ngumu kumesaUnapata kwa kuomba kwa Imani, hakikisha unaomba Toba ya kweli,
Huyu Roho Mtakatifu ni mwalimu na msaidizi
Siwezi eleza zaidi maana haya mambo ni ya kiroho, lazima kwanza umwamini YESU
Mpuuzi gani alikwambia Mungu ni binadamu?Mungu Ni Mmoja Hawezi Exist Kama Kama Roho Mtakatifu pia kama Binadamu