Hujajibu swali langu, Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao kuna uzuri lakini ubaya haupo na hauwezekani kuwepo?Ubaya na uzuri ni kitu kimoja / like darkness and light /noise and silence..
You can't have one without the other.
Mwanga hutokea gizani.
Umeandika hadithi nzuri, lakini hujajibu swali nililouliza.Nimekaa hapa napiga ugali na mlenda na dagaa wakavu huku nasoma hii post yako na nimecheka hadi nimepaliwa...
Jamaa akaniuliza "sasa si hicho kisimu chako cha mchina utakidondoshea kwenye huo mlenda?" Nikamjibu nasoma "vurugu" za jamaa huku mtandaoni jombaa na hakidondoki kitu hapa iwe dagaa au haka ka mchina....
Huwa nasoma post zako maana unaandika kama mashairi hivi na inavutia sana kusoma...
Hiki ndicho nilichokibakiza....
.Sasa hapo ndio ugumu wa biblia unapokuja. Yesu ni Mungu lakini Mungu huyo alikufa. Je alipokufa roho yake ilienda wapi?
Umekisia tu kuwa nilikuwa na dhamira ya kujibu chochote hapa au una uhakika?Umeandika hadithi nzuri, lakini hujajibu swali nililouliza.
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani kufanyika?
Nani kaongelea dhamira yako? Nani anakisia sasa wewe unayeongelea kwamba nimekisia kuhusu dhamira yako, ambayo siwezi kuijua - na hata nikiiongelea nitakuwa nakisia tu, hivyo wewe kusema nakisia nipointless, ingawa sikuwa naiongelea- au mimi niliyesema fact tu?Umekisia tu kuwa nilikuwa na dhamira ya kujibu chochote hapa au una uhakika?
Nilichoandika ndicho nilitaka kuandika,hayo mengine ni yako wewe...
Yooote hayo uliyoyaandika nisome andiko gani ili nielewe?.
Mungu ni Roho, Yesu ni mwili alimukaa Mungu(roho) hapa duniani ili kutenda yale aliyotenda.
Miili yetu irudiyo mavumbini tuna ahadi ya kufufuliwa siku ya mwisho na kuishi milele. Wa Yesu ulifufuka kama mtangulizi wetu kutuonyesha mfano ulio hai wa ile yetu itakavyofufuka na alipaa nao kuelekea mbinguni. Huu ni mwili wa utukufu.
.Kutokans na upotoshaji huo wa Shetani ndio maana hata Mfalme Sauli alimuendea yule mama mchawi wa Endor akimuomba amuinulie Nathan Nabii. Ni kweli yule mama mchawi wa Endor alimuinua 'Nathan' na aliweza kumtabiria Sauli kuwa yeye na watoto wake wangekufa kesho yake. Jambo hilo ni kweli lilitokea kwani Sauli aliuawa yeye na Watoto wake kama vile 'Nathan'alivyomtabiria.
Hata hivyo ambacho Mfalme Sauli hakufahamu ni kuwa yule aliyemuona hakuwa Nathan bali ni roho wa Shetani aliyevaa umbo la Nathan. Nabii Nathan alishakufa kitambo na pia roho wa Bwana alishamuacha Sauli.
Uelewa wa hili haupo katika mstari mmoja bali kusudi lote la kuandikwa biblia. Soma biblia yote ukiwa umetulia na kumwomba roho wa Mungu akuongoze katika ufahamu/uelewaYooote hayo uliyoyaandika nisome andiko gani ili nielewe?
Biblia yote haizunzumzii kitu kimoja tu. Ina mambo mengi. Unaponiambie nisome biblia yote ni kukimbia wajibu wako wa kunifundisha.Uelewa wa hili haupo katika mstari mmoja bali kusudi lote la kuandikwa biblia. Soma biblia yote ukiwa umetulia na kumwomba roho wa Mungu akuongoze katika ufahamu/uelewa
Mtu anapotaka kujua Yesu alizaliwa mji gani hawezi kusoma biblia yote.Uelewa wa hili haupo katika mstari mmoja bali kusudi lote la kuandikwa biblia. Soma biblia yote ukiwa umetulia na kumwomba roho wa Mungu akuongoze katika ufahamu/uelewa
Lakini kama ilivyoandikwa, mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia, wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu, mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao.Sasa hapo ndio ugumu wa biblia unapokuja. Yesu ni Mungu lakini Mungu huyo alikufa. Je alipokufa roho yake ilienda wapi?
Ni aghalabu sana kiongoz wa kiimani kuruhusu waumini na wasio waumini kuuliza maswali baada ya mada. Pengine utamaduni wa kuuliza maswali magumu ungekuwa ni Lazima, tusingeshuhudia utitiri wa madhehebu duniani, mengi yakiwa kwa maslahi ya viongozi wao.
Ni kiongoz mmoja tu (anayefahamika kwa sasa duniani) ambae ameenda mbali zaidi na kuruhusu maswali hata nje ya mada alizozungumzia na amekuwa akijibu kwa ufasaha na kutoa hata marejeo. Huyo Si mwingine bali ni Dr. Zakir Naik. katika video hii amejibu kuhusu kifo, kukata roho, roho ni nini na inaenda wapi baada ya kifo?
This fellow is simply ignorant of many things, whetever he said about soul is stark nonsense. He is fallacious in his arguments. Quran is just a story book,Ni aghalabu sana kiongoz wa kiimani kuruhusu waumini na wasio waumini kuuliza maswali baada ya mada. Pengine utamaduni wa kuuliza maswali magumu ungekuwa ni Lazima, tusingeshuhudia utitiri wa madhehebu duniani, mengi yakiwa kwa maslahi ya viongozi wao.
Ni kiongoz mmoja tu (anayefahamika kwa sasa duniani) ambae ameenda mbali zaidi na kuruhusu maswali hata nje ya mada alizozungumzia na amekuwa akijibu kwa ufasaha na kutoa hata marejeo. Huyo Si mwingine bali ni Dr. Zakir Naik. katika video hii amejibu kuhusu kifo, kukata roho, roho ni nini na inaenda wapi baada ya kifo?
.Biblia yote haizunzumzii kitu kimoja tu. Ina mambo mengi. Unaponiambie nisome biblia yote ni kukimbia wajibu wako wa kunifundisha.
Ndio maana Ufunuo wa Yohana hauzungumzi sawa na Injili ya Yohana.
Wewe ni mkristo wa dhehebu gani??Hao ni wanaomuelezea Mkuu.
Yesu hawezi kuwa Mungu Mkuu. Mimi mwenyewe ni Mkristo lakini napingana na hilo mpaka kifo.
Mtu kutenda miujiza hakumfanyi kuwa Mungu. Kuwa na mambo ya ajabu hakumfanyi kuwa Mungu.
Yesu ni Binadamu kama walivyowanadamu wengine.
Usipotoke.
Ni aghalabu sana kiongoz wa kiimani kuruhusu waumini na wasio waumini kuuliza maswali baada ya mada. Pengine utamaduni wa kuuliza maswali magumu ungekuwa ni Lazima, tusingeshuhudia utitiri wa madhehebu duniani, mengi yakiwa kwa maslahi ya viongozi wao.
Ni kiongoz mmoja tu (anayefahamika kwa sasa duniani) ambae ameenda mbali zaidi na kuruhusu maswali hata nje ya mada alizozungumzia na amekuwa akijibu kwa ufasaha na kutoa hata marejeo. Huyo Si mwingine bali ni Dr. Zakir Naik. katika video hii amejibu kuhusu kifo, kukata roho, roho ni nini na inaenda wapi baada ya kifo?