Roho ni nini? inaenda wapi baada ya kufa?

Hujajibu swali langu, Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao kuna uzuri lakini ubaya haupo na hauwezekani kuwepo?

Hili ndilo swali langu, ambalo hujalijibu.
Mungu alishaumba malaika , ambao hawakuwa na matamanio, ambao walifanya mazur tu na walikaa miaka sana, kwa hiyo ni utashi wake kuja kumuumba mwanadamu ambaye akampa matamanio na 'free will'.
 
Yesu alipozaliwa na mwanamke lengo lilikuwa kuuvaa mwili wa duniani kwa sababu yeye ni roho. Na ili uweze kukaa na kumudu mazingira ya dunia lazima uwe na mwili wa mnyama, binadamu, ndege, mdudu au bacteria nk.

The same baharini lazima pia uwe na mwili wa samaki au viumbe wa baharini. Kwa kuwa Yesu ni Roho na anaeishi katika mbingu ambayo ndiko makao na makazi ya roho, hapa duniani ilimbidi kuvaa mwili ili awe na ufananio na viumbe wa realm hii ya dunia, cheki (Waebrania 10:5)) Ukisoma vizuri utaona anauongelea mwili akiwa nje ya mwili


"Kwa hio ajapo ulimwenguni asema,Dhabihu na toleo hukutaka, lakini mwili uliniwekea tayari" Kwa kufikiria deeply utaelewa kwamba Yesu angelikuwa ndani ya mwili asingeongea maneno hayo.

Alikuwa kwenye realm ya uhalisia wake nje ya mwili.
 
Mungu alishaumba malaika , ambao hawakuwa na matamanio, ambao walifanya mazur tu na walikaa miaka sana, kwa hiyo ni utashi wake kuja kumuumba mwanadamu ambaye akampa matamanio na 'free will'.
Ukishajibu "ni utashi wake", kimsingi umesema hujui sababu.

Ukishajibu hujui sababu, umeshakubali humuelewi Mungu unayesema yupo.

Ukishasemahumuelewi Mungu unayesema yupo, kimsingi unaweza kuwa unaamini Mungu yupo wakati hayupo.

Huwezi kumuelezea. Wengine watasema huwezikumuelezea kwa sababu hayupo, haelezeki.

Utajuaje Mungu huyo usiyemjua, yupo, na Mungu wa uongo ambaye humjui kwa sababu ni wa uongo na hayupo, hayupo?
 
Na pia Yesu sio binadamu kwa maana hakuzaliwa kwa mimba iliotungwa kwa sex ya mke na mume, Yesu aliingia kwenye tumbo la mwanamke kwa nguvu isioonekana na lengo lilikuwa kuuvaa mwili tu sio kutokea kama binadamu wengine.

Kwa hiyo Kusema Yesu ni binadamu ni uvivu wa kufikiri, upumbavu na dharau isio na mashiko yoyote.
 
Roho ni sehemu ya Super Natural power.

Ni sehemu ya Mungu. Hivyo haionekani na haitakuja kuonekana.

Ukifa Roho hurudi kwa Mungu kwani ni sehemu yake. Wakati Mwili hurudi mavumbini kwani mwili ni sehemu ya Mavumbi.
Nakumbuka utotoni tuliaminishwa kuwa binadamu ukifa roho yako inakwenda mbinguni kisha unakwenda kuzaliwa nchi nyingine. ..[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Roho ni sehemu ya Super Natural power.

Ni sehemu ya Mungu. Hivyo haionekani na haitakuja kuonekana.

Ukifa Roho hurudi kwa Mungu kwani ni sehemu yake. Wakati Mwili hurudi mavumbini kwani mwili ni sehemu ya Mavumbi.
[emoji120] [emoji120]
 
Yesu Si Mungu. Na hawezi kuwa Mungu.

Mungu haonekani hivyo hana mfano.
Hizo nyingine ni simulizi.

Hakuna sababu inayofanya Yesu Awe Mungu Mkuu
Ila binadamu sijui tukoje kwa mfano mi naanzaje kuamini kabisa yesu mungu[emoji15] mungu hawezi kuwa na mfano wa kushinda kijiweni kutengeneza vitanda au makochi maana alikuwa seremala...anakula na ukila lazima ujisaidie...na mambo mengi kama binadamu kamili...mungu hawezi kujidhalilisha vile msalabani kisa tu wanadamu wamuamini...yaani haingii akilini hata kidogo Bali naamini alikuwa nabii kama manabii wengine wa mungu baba waliotangulia kabla yake.
 
This fellow is simply ignorant of many things, whetever he said about soul is stark nonsense. He is fallacious in his arguments. Quran is just a story book,
are you sure? Do you know Quran is the only book in the face of the earth that is pure, without contradictions and a criteria to judge right and wrong?
Dr. Zakir with Dr. William campbel, The Quran and the bible in the light of science :
 
nimekusoma inaonekana una tatizo kama la huyu kijana ambalo limejibiwa vizuri na Dr. Zakir Naik
 
Masahihisho kidogo. Sio nabii Nathan, bali ni nabii Samuel. Na maandiko hayasemi kuwa roho iliyoongea na Sauli ilukuwa ya shetani. Alikuwa ni Samweli mwenyewe. Fuata maandiko yanavyosema, sio mawazo ya watu wa theolojia.

Kama shetani alimpandisha Bw. Yesu juu ya mnara wakati alipojaribiwa na shetani unaonaje isiwezekane mchawi wa Endori kupandisha kivuli cha nabii Samweli?.
 
nimekusoma inaonekana una tatizo kama la huyu kijana ambalo limejibiwa vizuri na Dr. Zakir Naik
Hujajibu swali, na huyo Dr. siwezi kuangalia video yake sasa hivi.

Mungu wako ambaye humuelewi kiasi cha kuweza kumuelezea vizuri, unawezaje kumtofautisha na uongo mwingine wowote tu ambao nao haueleweki kiasi cha kuweza kuelezeka vizuri?

Na kamahuwezi kumtofautisha huyu Mungu wako kwa kumuelezea vizuri,sawa na uongo mwingine tu ambao huwezikuuelezea vizuri, kwa nini Mungu wako huyu naye asiwe uongo tu?
 
unayasema haya kwa kuelewa? Yesu mwenyewe Kasema yeye ni binaadam!!! wewe unataka kumwita nani?
 
Kama Mungu yupo, Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote, Mungu huyu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Kwa nini hakuumba ulimwengu huo ambao mabaya hayawezekani, kaumba huu ambao mabaya yanawezekana?
Kila mmoja ni mchunga na kila nafsi itaulizwa ilichochunga Quran. Hoja yako haina nguvu kwa mstari huo hapo juu. Mungu anaumba apendavyo na si upendavyo wewe na Mimi. Ndo maana tunakufa japo hakuna binadamu anayependa kufa ila hatuna budi kwasababu hatuna mamlaka.

Kila nafsi itaonja umauti,kifo ni mlango kila mmoja lazima apite,Kifo ni kinywaji kila mtu lazima akinywe, Ukisoma hiyo mistari kwa umakini kutoka katika Quran utagunduwa ni kauli za command kwetu sisi kutoka kwa Mungu.
 
 
Umehubiri, hujajibu swali.

Swali bado linasimama, kwa kuwa halijajibiwa.

Kama Mungu yupo, Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote, Mungu huyu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Kwa nini hakuumba ulimwengu huo ambao mabaya hayawezekani, kaumba huu ambao mabaya yanawezekana?

Hujajibu swali.
 
Huwa unaelewa anaposema yeye ni binadamu?? Je wewe unamuona ni binadamu kamili?? Huwa unaelewa kwa nini aliuvaa mwili??
 
Mungu anaumba apendavyo.Full stop
 
Mungu anaumba apendavyo.Full stop
Utajuaje kwamba Mungu anaumba apendavyo na si kwamba hayupo umedanganywa tu ikiwa huwezi hata kuelezea kwa nini kapenda ubaya uwezekane badala ya kupenda ubaya usiwezekane?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…