Majibu yako hapa kwa ufupi.... SOMA
.
i. Kila kitu duniani hu vibrate. Kuna molecular movement in every object in the universe. Kiwe jiwe, meza uliyokalia, air etc
ii. Object yoyote inaonekana kwa macho kwa sababu speed ya vibration ni ndogo. Mfano risasi iliyotoka kwenye bunduki sio rahisi kuiona kwa macho kwa sababu hiyo,tofauti na ukirusha jiwe analiona . Hivyo hivyo miili yetu inaonekakana sababu ya low vibration
iii. Roho ni matter, lakini ni subtle matter ambayo vibration yake ni ya hali ya juu sana. Kwa hiyo haionekani wala kushikika. Katika hali hiyo physical property yake hupotea na kuchukua form nyingine. Subtle, or spirit form. Ndiyo maana halisi ya kutoonekana kwa roho. Ujue roho ni pysical thing ambayo imebadili form kuwa spirit. Ni kama maji ambayo ni physical, yawaza kubadili form na kuwa steam etc. Inauwezo wa kuwa ndani mwa mtu ambapo mwili ni physical kwa sababu nayo ni physical in a changed form.
iv. Roho ikitoka kwenye mwili ina option nyingi. Moja ni kwamba inaweza kukaa duniani ikiriranda randa hadi ipate mwili wa kuingia ili izaliwe upya yaani re carnation au ahera( nether world) au mbinguni ambapo level hizi zinaitwa planes.
v. Roho itakaa kwenye plane kutegea spiritual level yake ambayo inategemea matendo yake hapa duniani. The higher spiritual level is saint hood, while the lowest is ghost( demons, devils, and negative energies)