adamcyid
Member
- Dec 26, 2014
- 87
- 25
Yesu _issa Bi mariyam!Hujajibu swali langu,,,,,nitajie jina la binadamu yoyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu _issa Bi mariyam!Hujajibu swali langu,,,,,nitajie jina la binadamu yoyote.
Labda unajaribu kujibu nonsense.Yesu _issa Bi mariyam!
Pole sana, Elimu unayo Lakini aikukusaidia kitu!Labda unajaribu kujibu nonsense.
Isa alizaliwa chini ya mtende na inawezekana Alikuwa na baba aliempa mimba mama yake.......ila Yesu aliezaliwa kwenye hori la kulia ng"ombe hakuwa na baba aliempa mimba mama yake.......isa alikuja kwa majukumu ya Uislam na hana lolote la kufanya na Ukristo...
Ninachokiona hapa ni kwamba una question uwezo wa Mungu na sio kwamba huamini kuwa Mungu yupo.Hiujaelewa swali langu si kwa nini ulimwengu una mabaya.
Hili si swali langu.
Swali langu ni, kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea wakati alikuwa ana uwezo wakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea.
Hjaelewa swali mpaka sasa.
Sishangai hujaweza kulijibu.
Mungu angeumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, kutotii kusingewezekana kwa hivyo suala la utii lingekuwa moot.
Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kabisa?
Hapana, kama habari za Mungu zinaonyesha contradiction, na contradiction zinaonyesha uongo, na wanaosema Mungu huyo yupo hawajaweza kujibu na kuondoa contradiction hizo, basi nadharia ya kuwepo kwa Mungu huyoina contradiction na hivyo Mungu huyo hawezi kuwepo.Ninachokiona hapa ni kwamba una question uwezo wa Mungu na sio kwamba huamini kuwa Mungu yupo.
Nadhani hili swali ungejibu ww mwenyewe kwamba kwann hujaumbwa mbuzi, bata, mende n.k.
Ukishapata majibu hapo juu njoo na contradiction zilizobakia.
Slma Marko 1:2-12 utapata jibu Ngamia kwa nini ni halali.....
una safari ya kueleweshwa kuwa Yesu ni Mungu.....Hao ni wanaomuelezea Mkuu.
Yesu hawezi kuwa Mungu Mkuu. Mimi mwenyewe ni Mkristo lakini napingana na hilo mpaka kifo.
Mtu kutenda miujiza hakumfanyi kuwa Mungu. Kuwa na mambo ya ajabu hakumfanyi kuwa Mungu.
Yesu ni Binadamu kama walivyowanadamu wengine.
Usipotoke.