ally delianus
Senior Member
- Jul 5, 2018
- 105
- 40
Hakuna mweny mamlaka y kutoa tafsr sahh juu ya roho lkn kw uelewa tu nkwmba roho ni nguvu au uwezo unaotokana na mungu ambayo nguvu hiyo ipo kwkila kiumbe ili kiweze kufanya kazi iliyotakiwa means maisha thats y kuna matendo yanafanyika ndan y miili yetu utake usitake yatafanya kaz y kiungu kutokana na hyo nguvu y kiroho mfano umtu unapomalza kula huna uwezo wakusema now wacha chakula nkiache tu kisijsage tumboni ila auto chakula tu kikisha ingia tumboni bs kaz y kumeng'enya inaanza na vpo vng sansalam wan jf
kwa wenye uwezo wa kureason naomba kupewa maana halisi ya neno roho na inamuingiliano gani na akili?
na je viumbe vyote vina roho??