Roho ya CCM inaning'nia kwenye uzi ulioshikiliwa na Jeshi la Polisi

Roho ya CCM inaning'nia kwenye uzi ulioshikiliwa na Jeshi la Polisi

Usiporuhusu ushindani kwenye biashara yako huwezi kujua ubora wa bidhaa zako kwenye soko, vile vile usiporuhusu uchaguzi huru huwezi kujua kama wananchi bado wanakiunga mikono chama chako.

Imagine Simba aikimbie Yanga kwenye mechi na mwisho wa ligi Yanga atangazwe bingwa, au Azam TV aikimbie ITV mwisho wa siku atambe yeye ni Superbrand.

Kumuengua au kumkimbia mpinzani wako ni dalili za uoga na kuishiwa mbinu.

Siku jeshi litakapotambua majukumu yake kwa wananchi ndipo utakapokuwa mwisho wa CCM kwa sababu haitakuwa na base yeyote kwa wananchi.

CC. Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.
Siku wakitambua hilo ndio mwanzo wa kupaa maendeleo ya taifa letu.
 
CCM ilishakoma kuwa chama cha siasa na kubaki kuwa genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendeleza utawala wake wa kidhalimu.
 
Back
Top Bottom