Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Zile jogoo na pesa nilizokuwa nahangaika kuwapelekea waganga wakienyeji eti waning'arishie nyota na wanipe mvuto wa bahati na kukubalika mbele za watu, si bora ningekuwa namrushia hata Mshana ya bando[emoji23] [emoji1545][emoji1545][emoji1534]
 
Salaam kwako mkuu Kapyepye Mfyambuzi, maendeleo kwa sasa unayaonaje baada ya kutumia tiba hii aliyoipendekeza doctor Mshana Jr
 


Ndugu naomba kuuliza hv kwa sisi wenye nuksi za kukosa bahati katka interview za viza ubalozini je hii chumvi asilia inaweza kutatua hilo tatizo?
 


Ndugu naomba kuuliza hv kwa sisi wenye nuksi za kukosa bahati katka interview za viza ubalozini je hii chumvi asilia inaweza kutatua hilo tatizo
 
Ndugu naomba kuuliza hv kwa sisi wenye nuksi za kukosa bahati katka interview za viza ubalozini je hii chumvi asilia inaweza kutatua hilo tatizo
Sorry for late reply.. Inawesa kukusaidia pakubwa lakini kama huna mawaa
 
Daaaah ila huyu jamaa bana.... au jini? Ana madini lukuki
 
Duh,,,Asante sana future pastor,,,nitaifanyia kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…