Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Mtag huyu tunayemkataa kwa pamoja aione tiba yako
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji40][emoji40][emoji40][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]sitaki kesi na mtu wanangu bado wananihitaji sana...
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji40][emoji40][emoji40][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]sitaki kesi na mtu wanangu bado wananihitaji sana...
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
ndugu mwishoni umemalizia na future pastor angslia usije ukawa kama pastor wetu wa konkiiii..


baada ta komenti ya kuchekesha sasa ngoja nirudi kusoma za wenzangu
 
Yaani kama umenisema mimi io kitu hata mimi muhanga wa ilo tatizo roho ya kukataliwa ipo nilitafuta kazi shule zaid ya 50 wanakwambia tutakuita hata nnapoishi madharau nikiamka napita na mambo yangu sasa kama watu wanakusema lakini uzuri sina mazoea wapo watu hufurai wakikuona una matatizo ilo nimeliona lakini Mungu anajua
 
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji87][emoji87][emoji144][emoji144][emoji144]
Mshana Jr hebu fafanua hii chumvi ndio nasikia kwa mara ya kwanza-Inafanyaje kazi . Nilimuona nabii na mtume mmoja akiuza hii kitu na aliuza sana,sema chumvi yake aliipiga rangi nyekundu
 
ndugu mwishoni umemalizia na future pastor angslia usije ukawa kama pastor wetu wa konkiiii..


baada ta komenti ya kuchekesha sasa ngoja nirudi kusoma za wenzangu
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji87][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani kama umenisema mimi io kitu hata mimi muhanga wa ilo tatizo roho ya kukataliwa ipo nilitafuta kazi shule zaid ya 50 wanakwambia tutakuita hata nnapoishi madharau nikiamka napita na mambo yangu sasa kama watu wanakusema lakini uzuri sina mazoea wapo watu hufurai wakikuona una matatizo ilo nimeliona lakini Mungu anajua
Ukiweza Jaribu kutumia tiba ya chumvi
 
Back
Top Bottom