karma alvin
Member
- Jan 9, 2013
- 51
- 8
Habar zenu wanajamvi.
Mimi nimekua na tatizo la kutaka kujiua mara kwa mara.
Ninapoishi nakaa kwa ndugu yangu, huyu ndugu yangu amekua na tabia ya kuninyanyasa na saa ingine kunidhalilisha mbele za watu, pia siku hizi amekua anapenda sana kuniuliza kama mimi ni taira au mzima hii hali imenichosha sana sitamani kuendelea kuishi hapa duniani ndo hii hali ya kutaka kujiua inapojia kitu baya ni kwamba nina mtoto haya mawazo yakinijia huwa natamani kujiua mimi pamoja na mtoto sababu naogopa nikimuacha atapata shida sana.
NAOMBENI MNISAIDIE HATA KWA MAWAZO NIWEZE KUKABILIANA NA HII HALI MAANA IMEKUA IKINIANDAMA MARA KWA MARA.
Mimi nimekua na tatizo la kutaka kujiua mara kwa mara.
Ninapoishi nakaa kwa ndugu yangu, huyu ndugu yangu amekua na tabia ya kuninyanyasa na saa ingine kunidhalilisha mbele za watu, pia siku hizi amekua anapenda sana kuniuliza kama mimi ni taira au mzima hii hali imenichosha sana sitamani kuendelea kuishi hapa duniani ndo hii hali ya kutaka kujiua inapojia kitu baya ni kwamba nina mtoto haya mawazo yakinijia huwa natamani kujiua mimi pamoja na mtoto sababu naogopa nikimuacha atapata shida sana.
NAOMBENI MNISAIDIE HATA KWA MAWAZO NIWEZE KUKABILIANA NA HII HALI MAANA IMEKUA IKINIANDAMA MARA KWA MARA.