Roho za mauti: Ni kitu gani hiki?

Roho za mauti: Ni kitu gani hiki?

Msamaha huanzia kwako...usiweke vifundo usiweke visasi usiweke vinyongo..ni lazima kuwe na starting point... Kumbuka ni kwa kusamehe ndio tunasamehewa, tunasameheka!
Yani mimi moyo mweupe, nafanya jitihada za kusema nao, hata watu wazima natafuta wakwenda kuongea na mama zetu ili hii chuki iishe isiyojulikana chanzo lkn wapi hakuna hata dalili ya matatizo haya kuishi, dada mkubwa ametulia, mdogo huona vyema na kufurahi kaka yake kupata matatizo yani vurugu ni nyingi mimi kama mtoto ninaetokana na hcho kizazi najaribu kuunganisha sisi watoto wote wa wajomba na mama ili tuwe pamoja kama hyo laana itaishia kwao lkn hakuna hata anaelewa unabki kusema Mungu fanya wewe pekee sasa
 
Yani mimi moyo mweupe, nafanya jitihada za kusema nao, hata watu wazima natafuta wakwenda kuongea na mama zetu ili hii chuki iishe isiyojulikana chanzo lkn wapi hakuna hata dalili ya matatizo haya kuishi, dada mkubwa ametulia, mdogo huona vyema na kufurahi kaka yake kupata matatizo yani vurugu ni nyingi mimi kama mtoto ninaetokana na hcho kizazi najaribu kuunganisha sisi watoto wote wa wajomba na mama ili tuwe pamoja kama hyo laana itaishia kwao lkn hakuna hata anaelewa unabki kusema Mungu fanya wewe pekee sasa
Uko kwenye mstari sahihi kabisa
Usichoke
Usikate tamaa
Usife moyo.. Malipo yake mema utayaona kabla hujalala kimya...NAKUOMBEA NA KUKUTIA MOYO SANA!
 
Uko kwenye mstari sahihi kabisa
Usichoke
Usikate tamaa
Usife moyo.. Malipo yake mema utayaona kabla hujalala kimya...NAKUOMBEA NA KUKUTIA MOYO SANA!
Shukran sana. Naamini wakati wa Mungu ni sahihi, fikiria watoto wa tumbo moja mama yao hawezi kuwaunganisha kwa sababu tu huyu wa kwanza ana baba yake na hawa wengini wana baba yao na ni wadogo hvyo kuwafundisha mema bado yanawezekana kwa umri wao. Yani mtihani. Shukran tena kwa mada hii mwenyezi Mungu akuongoze
 
Shukran sana. Naamini wakati wa Mungu ni sahihi, fikiria watoto wa tumbo moja mama yao hawezi kuwaunganisha kwa sababu tu huyu wa kwanza ana baba yake na hawa wengini wana baba yao na ni wadogo hvyo kuwafundisha mema bado yanawezekana kwa umri wao. Yani mtihani. Shukran tena kwa mada hii mwenyezi Mungu akuongoze
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] Wazazi ndio msingi wa ujenzi wa familia ama chanzo cha kubomoa..! Mungu azidi kukupa ujasiri na kukutia nguvu.. Muombe sana maana bila yeye vita huwa ngumu sana
 
 
 
 
Ni kweli mkuu akili zote ni muhimu ila kuna mambo ambayo ni ya kiroho sana na kuna mambo ya kimwili ndio maana tunahitaji zote🤝
huko rorhoni mnaenda mbali sana tunahitaji nafsi zetu zipone kwanza kwakuwa ndio zilizojeruhiwa na kuhusishwa na maugomvi na matatizo yote hayo.
 
huko rorhoni mnaenda mbali sana tunahitaji nafsi zetu zipone kwanza kwakuwa ndio zilizojeruhiwa na kuhusishwa na maugomvi na matatizo yote hayo.
Nafsi huundwa na roho na mwili lakini
 
Nafsi huundwa na roho na mwili lakini
ni kweli lakini binafsi nilichokiona watu wengi hawajui umuhimu wa kushugulika na nafsi zao ni jambo ambalo na mimi napambana nalo kwanza. kwa kuwa kwangu mimi naamini nafsi ni kama daraja kati ya mwili na roho( kwa mawazo yangu) naamini nafsi inatakiwa iendeshe mwili na si mwili uiendesha nafsi na ndipo ninapomkubali Daudi anaposema nafsi yangu muhimidi Bwana zaburi 103:1-2
 
Hapa kwenye familia hazisalimiani ni mtihani kwa kweli. Ndugu hawapendani, ndugu hao hao huamisha chuki kwa watoto mpaka mtoto wa ma mdg na ma mkubwa hamuwezi kukaa pamoja. Hii inanitesa sana. Hata ukijaribu kuwaeleza wazazi hawaelewi. Unafanya nini tena ukiwa umejaribu kila njia mshikane
IPO katika ukoo wangu yaani hii mada imenigusa mnoo[emoji24]
 
Hatuzikani wakubwa wa familia Wana tuhumiana ushirikina ikitokea msiba mkikutana hawapeani hata mikono sisi tunakua tunaona mgawanyiko huo [emoji24]
Poleni sana poleni mno[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Familia zina mitihan Mungu pekee ndo anaweza zibadili hizi nyoyo
Screenshot_20210825-220652.jpg
 
Back
Top Bottom