VeronicaAmadu
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 310
- 380
Kuna madogo wawili nao ni hatari sana. Zverev na Tsitsipasi. Wako vizuri sana.
Acha tu,Rafael na Roland Garros wameshibana.
Huyo Tsitsipasi alilia ile mbaya alipotolewa na Wawarinka hakutegemea kabisa. Na ni mcheza mzuri sana ambaye kishajiamini anaweza kumfunga yeyote yule.
Anajiamini sana ni kitu muhimu sana kwenye tennis kujiamini. Halafu ana kocha mzuri sana Patrick, kocha wa Serena Williams. Coach Patrick namuaminia.
Kabisa yaani.Andy murray aliishiaga wapi ?
Wimbledon hiyo ya Roger au Djokovic.Andy tokea ashinde Wimbledon 2016 sijawahi msikia tena akishinda Grand Slam.Alifanyiwa hip operesheni January mwaka huu mara tu baada ya Australia Open. Atacheza double na mdogo wake Wimbledon nadhani ni kutest kama ataweza kurudi au abwage manyanga.
Wimbledon hiyo ya Roger au Djokovic.Andy tokea ashinde Wimbledon 2016 sijawahi msikia tena akishinda Grand Slam.
Kasema siku akija kupoteza French Open basi atapenda apoteze mbele ya Thiem.
Hapa tupo pamojaWeekend yangu imekua nzuri sana. Nasubiri kesho Toronto wakamilishe furaha yangu ntakua the happiest human being alive [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muwe na siku njema wakuu[emoji1374]
Andy majeruhi muda mrefu. Iliobaki kidogo astaafu ila atarudi kujaribu WimbledonWimbledon hiyo ya Roger au Djokovic.Andy tokea ashinde Wimbledon 2016 sijawahi msikia tena akishinda Grand Slam.