Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

Kwa kweli sasa imepita kipimo cha kawaida.

Karibu kila kashfa kubwa ya upotevu wa pesa au ubadhirifu inayotokea nchini kuna jina la mfanyabiashara maarufu wa kiasia linajitokeza. Kwa mifano michache tu ya rada, ndege mbovu, magari ya wanajeshi, vifaa vya jeshi, richmonduli, wizi BoT, na mengine mengi tu...... hawa wenzetu wameonesha kuwa hawana nia njema kabisa na nchi yetu.

Nitaonekana mbaguzi kama nikiwasakama waasia pekee hapa ila pia naona inabidi pia iwekwe wazi kuwa wakati tukila sahani moja na kina Mramba, Lowasa, Mgonja na wenzake (wazawa) inabidi pia tule sahani moja na surrogate zao (Manji, Patel, Azizi, Vit-rada) na wengine ambao wanahusika na upotevu wa mabilioni ya pesa.

Kwa wakazi wa Dar es salaam inafahamika namna makampuni ya ujenzi wa barabara ya wafanyabiashara wa kiasia ambavyo wamekuwa wakifanya kazi mbovu ya kurekebisha barabara mwaka hadi mwaka na kupelekea barabara hizo kuharibika zaidi na kuleta usumbufu mkubwa kabisa (naongelea kina Karafi na wenzake).

N'uff now, naungana na Iddi Simba katika hili. Ifikie wakati sasa maslahi ya nchi na wananchi wengi yawe mbele ya kuwa politicaly correct. Nchi zinazotamba kwa demokrasia zinaendesha criminal profiling na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kukamata wezi na wahalifu kwa gharama kidogo, kwa nini watanzania wenye uchungu na nchi yetu tusianze kuwaangalia hawa waasia kwa macho makali ya chuki kwa vitendo vyao vya wizi na ubadhirifu wa uchumi wa nchi yetu?

Najua hii inaweza kuwa sio sahihi kisiasa ila naona pia kuwa siasa ndio inaamua mambo mengi ya nchi yetu na hili la waasia kuwa na sauti kubwa sana kwenye siasa ya nchi yetu ni tatizo kubwa na inabidi liangaliwe sana kwa sasa!

Katika hili nitakubali kuitwa mbaguzi lakini niokoe maisha ya watoto wachanga wanaokufa bila dawa hospitalini huku Patel na wenzake wakichota mabilioni ya pesa za watanzania!

Tatizo si kujenga chuki tu,ila tuwashugulikie kwa kuwaponda mawe na kuwakata vichwa.ikiwezekana kuwachoma moto.!
Point hapa si kuwachukuia waasia,ila WAASIA mafisadi.Tatizo ni chama chetu kuwakumbatia hawa waasiaia sababu ndio wadhamini wao wakubwa katika kipindi cha Kampeni,hivyo ni vigumu hata Muungwana kuwagusa.isitoshe wanacontrol Uchumi wa Nchi hii kwa kushikiria Biashara kibao.Tubadili Mfumo kwa kuchagua Viongozi walio bora na ambao si mafisadi.
 
Ninakuunga mkono mwafrika wa kike asilimia 100%
Cha ajabu na cha kushangaza ni kwamba wakati tunaendela kuwapa dawa Mafisadi watanzania (Lowassa, Balali, na wengineo wengi...) tunawasahau hawa Mafisadi wa kiasia ambao wanachota pesa zetu na kuzipelekwa kwao huko wanakojua wao.
Naiomba serikali kwanza iwe makini na hawa watu jamani, Sisi serikali yetu na nia yake hawezi kujengwa na Waasia jamani, sana sana wanaingia kwenye siasa ili kutafuta njia nzuri ya kuweza kutuibia jamani.
Sasa ebu niambieni huyu Rostam ni mzaliwa wa Igunga kweli au imekuwakuwaje mpaka akapata ubunge huko??, kama si kutafuta jinsi ya kutuibia tu?

Naunga mkono hoja kwa asilimia 100%

Rostam amezaliwa Igunga na huwa anacheza ngoma za kinyaturu kama hana akili nzuri vile lakini the guy is behind the mafia gang ambayo inanyonya uchumi wa nchi yetu na kwa vile ni kiongozi wa ccm hakuna anayemgusa ingawa wengine wanatolewa bangusilo!
 
Nyie! ngojeni awasikie Mzee Mwanakijiji!
Mmekwisha! Lol
 
Kabla hatujaanza na wenzetu wanaoshirikiana nao hatutafika popote!

Tujasafishe kwanza sisi wenyewe halafu tuone hao waasia watashirikiana na nani.

Safisha nyumba yako kwanza, dhibiti wanao kisha ndio umshughulikia mtoto wa mpangaji anaefanya uharibifu wa nyumba yako.

Kama toto lako lenyewe bwege linashirikiana na watoto wa mpangaji kuharibu nyumba yako, wakulaumiwa kwanza ni mwanao au wewe mwenyewe!
 
Nyie! ngojeni awasikie Mzee Mwanakijiji!
Mmekwisha! Lol

Kwani mwanakiji naye ni fisadi wa kiasia au anataka kuleta habari ya Richa?
Mwafrika wa kike,Hilo Gang group la hao mamafia wa kibongo ambao na Rostam yupo linaongozwa na nani?>wakina nani ni wanachama wa hilo gang group.
 
Kabla hatujaanza na wenzetu wanaoshirikiana nao hatutafika popote!

Tujasafishe kwanza sisi wenyewe halafu tuone hao waasia watashirikiana na nani.

Safisha nyumba yako kwanza, dhibiti wanao kisha ndio umshughulikia mtoto wa mpangaji anaefanya uharibifu wa nyumba yako.

Kama toto lako lenyewe bwege linashirikiana na watoto wa mpangaji kuharibu nyumba yako, wakulaumiwa kwanza ni mwanao au wewe mwenyewe!

Kweli kabisa Nungu na kama uonavyo kwa miaka miwili hapa tumekuwa tunasafisha toto letu bwege na juzi tumesherehekea ushindi dhidi ya Lowasa (for now). Sasa wakati tukiendelea na haya mapambano ndio inabidi tuunganishe na front nyingine dhidi ya "waasia mafisadi" (emphasis kwenye ufisadi) ambao kwa kweli nao wamehusika na wanaendelea kuhusika big tyme na uhujumu uchumi wa nchi yetu.
 
Kwa kweli sasa imepita kipimo cha kawaida.

Karibu kila kashfa kubwa ya upotevu wa pesa au ubadhirifu inayotokea nchini kuna jina la mfanyabiashara maarufu wa kiasia linajitokeza. Kwa mifano michache tu ya rada, ndege mbovu, magari ya wanajeshi, vifaa vya jeshi, richmonduli, wizi BoT, na mengine mengi tu...... hawa wenzetu wameonesha kuwa hawana nia njema kabisa na nchi yetu.

Nitaonekana mbaguzi kama nikiwasakama waasia pekee hapa ila pia naona inabidi pia iwekwe wazi kuwa wakati tukila sahani moja na kina Mramba, Lowasa, Mgonja na wenzake (wazawa) inabidi pia tule sahani moja na surrogate zao (Manji, Patel, Azizi, Vit-rada) na wengine ambao wanahusika na upotevu wa mabilioni ya pesa.

!

Mkuu

Tatizo tunatembea nalo la kwanza hawa watu kwanza inajulikana walivyo na uraia wa nchi nyingi. Hawa siyo watanzania hila kwa kushirikiana na viongozi MAFISADI ambao wamejificha mgongoni mwa CCM wamekuwa wakitumika kutuiba mali zetu na kulazimisha viongozi kuja na sheria ambazo zinalenga kuwaletea utajiri, mkubwa. Inabidi warudi India ambako watu hawafuati sheria.

Wengi ni Majangili yaliyojificha nyuma ya wanasiasa. Kinachotakiwa ni kama serikali imeshindwa kuwaambia wafuate sheria za nchi, wananchi inabidi tuwalazimishe wafuate sheria. Hawawezi kutumia kuiba rasilimali za nchi wakati wananchi tunaangalia.

Nguvu ya Umma inatakiwa iwafikie popote walipo, na pia watu wanaoshirikiana nao inabidi wajue kuwa UFISADI huu unaelekea mwisho.

Chuki tu haitoshi ni pamoja na kuteketeza vitu vinavyowapa kiburi mpaka waondoke nchini.
 
Kabla hatujaanza na wenzetu wanaoshirikiana nao hatutafika popote!

Tujasafishe kwanza sisi wenyewe halafu tuone hao waasia watashirikiana na nani.

Safisha nyumba yako kwanza, dhibiti wanao kisha ndio umshughulikia mtoto wa mpangaji anaefanya uharibifu wa nyumba yako.

Kama toto lako lenyewe bwege linashirikiana na watoto wa mpangaji kuharibu nyumba yako, wakulaumiwa kwanza ni mwanao au wewe mwenyewe!


Pointi murua kabisa. Wenye matatizo hapa sio Waasia, ila ni waswahili wanaofanya biashara haramu na hawa waasia. Kuna mmoja alitoa pointi nzuri sana wakati tunajadili suala la ukabila ikulu, TRA na mambo ya nje. Akasema kwamba tumekazana kulalamika kwamba Wahindi wamejazana katika nyumba za Msajili wakati wanaogawa nyumba hizo ni waswahili wenzetu. Sasa nani alalamikiwe hapo? Ndio yale yale ya kumalizia hasira zetu kwa Richa Adhia, Miss Tanzania.
Tutoe kwanza boriti katika macho yetu!
 
Pointi murua kabisa. Wenye matatizo hapa sio Waasia, ila ni waswahili wanaofanya biashara haramu na hawa waasia. Kuna mmoja alitoa pointi nzuri sana wakati tunajadili suala la ukabila ikulu, TRA na mambo ya nje. Akasema kwamba tumekazana kulalamika kwamba Wahindi wamejazana katika nyumba za Msajili wakati wanaogawa nyumba hizo ni waswahili wenzetu. Sasa nani alalamikiwe hapo? Ndio yale yale ya kumalizia hasira zetu kwa Richa Adhia, Miss Tanzania.
Tutoe kwanza boriti katika macho yetu!

Nadhani hapa Idimi unaacha kabisa kwa makusudi kusoma heading na content ya nilichoandika. Nimetumia neno waasia mafisadi na sio waasia pekee. Sina tatizo na waasia pekee na hukuona post hata moja toka kwangu kwenye case ya Richa......

Ninachoongelea hapa ni criminal profiling kwa kuanzia na hawa kina Patel na wenzao......
 
Nyie! ngojeni awasikie Mzee Mwanakijiji!
Mmekwisha! Lol

Sidhani kama Mwanakijiji anatetea waasia mafisadi ila anazuia watu kuwachukia watanzania wenye asili ya kiasia kwa ujumla unless kama na yeye ameingia kwenye payrol ya Rostam Aziz....lol
 
jamani wana JF suala hapa sio kuzaliwa wapi,hata uwe umezaliwa marekani au tanzania,awe mtanzania au muasia suala wote ni kushughulikiwa pasipo kujali itikadi. Lakini kwa hili la waasia kuhusika sana na hizi kashfa tujiulize wana nini hawa? Waasia ni watu wajanja sana popote duniani hakuna shaka hakuna asiyejua kuwa hata hapa UK tajiri namba moja ni muasia akifuatiwa na wengine. Muasia hata azaliwe nje ya asia,bado atadumisha link na kwao tu,labda kama mababu na mababu wapo hapa. Hawa kwa asili ni wafanyabiashara na kwao wako wengi sana kuliko rasilimali hivyo wanalazimika kutawanyika popote duniani kusaka rasilimali kwa njia yoyote ile na mwishowe wakaneemeshe nchi yao. Hivyo nia yao si nzuri hata kidogo,tena wapo flexible sana(samahani wana uwezo mkubwa wa kunyumbulika) na jamii wanazozikuta,na maisha yao mengi ni kwa madili.Yote haya wanawezeshwa na sisi wenyewe. Ifike wakati nchi yetu kukawa na Enhanced criminal disclosure kama zilivyonchi za huku majuu. Hivyo basi ili kujua mtu ana nia gani kuna haja ya kufanya uchunguzi na kuona link zake,manaake huenda wapo tz kama vivuli tu wakati miili halisi ipo kwao?

Na ndio maana kila kukicha unakuta wanakazana kuomba uraia,kuingia bungeni wakati hata kanuni za mwana TANU au ccm hawazijui,lengo si kupata pesa ni kulinda maslahi ya kibiashara,hivi mtu kama manji anatafuta nini kwenye ubunge? ROSTAM,Abood, Shabiby,Mohamed Dewji na wengine wengi je,ni kweli kuwawakilisha watanzania?hivui sisi black tumeshindwa kujiwakilisha?biashara zote hizo walizonazo wana shida gani? Ni ukweli uliowazi kuwa lengo ni kulinda biashara zao,ukishakuwa mbunge,OCD takuheshimu,RPC,DCI,RC na wengineo je,afisa biashara atakugusa? je polisi wa kawaida kwa maana ya PC(POLICE CONSTABLE) atakugusa ataanzia wapi mheshimiwa?je,ukiomba tenda halmshauri utanyimwa? na je,ukiboronga mkurugenzi atakubana? wakati ukimpa ka vitara kamoja ametulia? na ndio maana mimi naafiki kuwa imefika wakati tanzania kama mtu ni wakili akiingia kwenye siasa aache uwakili,kama ni mfanyabiashara akiingia kwenye siasa aache biashara,kama sisi watumishi wa umma tunavyolazimika kuziacha kazi tulizokuwa nazo tunapoingia kwenye siasa.
Wana JF haka kamchezo kakiendelea matokeo yake siku moja utakuta serikali yote inamilikiwa na mafia kwa kutumia mijipesa ya money laundering(Fedha zilizofuliwa. Hizi pesa zinapatikana kwa kuuza unga na mambo mengine haramu halafu kesho zinakuja kujenga shule,zahanati,kusaidia kampeni za uchaguzi nk.je wewe uliyesaidiwa na pesa hizi kuingia madarakani utawakemea hawa? na je mwananchi aliyejengewa zahanati na manji bila kujua pesa zilizotumika kujengea zimefuliwa atampinga manji? Umefika wakati sisi wachache tunayejua mambo haya,tuwafunue macho watanzania. TUSEME NEVER AGAIN.
Kuchangia chama sio kosa wala si dhambi,lakini iwepo sheria kama hapa ulaya ambayo itamlazimisha mtu kutangaza hadharani anakichangia chama gani kiasia gani na kwa nini? na hizo pesa atazirudishaje?manaake hata hapauingereza chama cha labour kinakabiliwa sana na mgogoro wa kuchangiwa pesa kwa siri bila kuwekwa wazi. Sisi naye tufikie hapo.Ni hatari nchi kuatwaliwa na wafanyabiashara kwa sababu kwa vyovyote vile utatokea mgongano wa limaslahi.
 

na hii nayo si ndio mambo wanayotufanyia baada ya kufanikisha dili zao
 
I am politically wrong, but moraly right. Baadhi ya wa-asia walioko hapa Tanzania, hasa wahindi, wana damu ya ufisadi, labda sisi tu wenyeji tuna damu ya ujinga, kwa sababu wanatuibia na tunajua wanatuibia na tunawachekea! Tujilaumu kwanza! Ndio maana wengine wanajidai na kujidai kuwa wao wayamwezi, kisa eti wakubalike!!
 
Nadhani hapa Idimi unaacha kabisa kwa makusudi kusoma heading na content ya nilichoandika. Nimetumia neno waasia mafisadi na sio waasia pekee. Sina tatizo na waasia pekee na hukuona post hata moja toka kwangu kwenye case ya Richa......

Ninachoongelea hapa ni criminal profiling kwa kuanzia na hawa kina Patel na wenzao......

Anti:

Hao mafisadi unaowataja hawafanyi uhalifu wao bila mafisadi wazawa. Na ukiweza kuwaondoa mafisadi wazawa katika equation ya ufisadi hakutakuwepo na mafisadi wengine.

Cha muhimu ni kukata mizizi ambao ni mafisadi wetu.
 
Augustoos,

1. Ila kwa nini hawa wabunge hutoka Morogoro, Igunga, Dar kwa nini wasichaguliwe kule Moshi Vijijini, au Karagwe au Rungwe?

2. Taabu kubwa ni huu utamaduni wa mtu mwenye pesa tu ndo ataweza kugombea! Sasa watu wazalendo wa kawaida vipi?

Transparance tunahitaji zaid ktk mchakato wa uchaguzi!

Ukiwa na wabunge waliochaguliwa kwa rushwa- hawawezi kuipiga vita rushwa!
 
Kuchangia chama sio kosa wala si dhambi,lakini iwepo sheria kama hapa ulaya ambayo itamlazimisha mtu kutangaza hadharani anakichangia chama gani kiasia gani na kwa nini? na hizo pesa atazirudishaje?

hii ndio hoja ambayo inatakiwa kupigiwa makofi.hapo hapo na Vyama vya Upinzani kama CUF pamoja CHADEMA huwa vinatoa wapi pesa ya uchaguzi,ningependa kujua juu ya hili.
Je ni pesa ya MAFISADI au MAFIA wa Kiarabu
 
Mwafrika wa Kike,

Nilikuwa mpinzani mkubwa wa kuandama watu wa kundi moja kwenye matatizo ya nchi yetu. Lakini baada ya scandals mbalimbali zinazoikabili nchi yetu tokea miaka ya 90 mpaka sasa, nimebadilika na ninakubaliana na wewe kwa asilimia 100.

Wafanyabiashara wa Kiasia hapa ni kama bangi, pamoja na kuwafundisha wanetu wasilivute hilo bangi lakini pia lazima tuhakikishe bangi lenyewe halioti wala kuoteshwa kwenye ardhi yetu.

Kikawaida tamaa haiji kama hakuna cha kutamani, lakini sasa hao wenzetu wa kiasia, kwa kutumia passports zao zaidi ya moja, wameweza kuwaingiza viongozi wetu kwenye ulevi wa ufisadi.

Lowassa ameenda na maji lakini inabidi tuangalie pia akina Rostam, Gire na wengine wote ambao tunajua wazi wanatumia kila njia ili kutuibia.

Hivi tuendelea kulala mpaka lini wakati mali zetu zinaibiwa. Lazima waelewa kwamba kama wanaendelea na ujinga wao huo, kuna siku Tanzania haitakalika kwa Waasia wote. Ni budi waanze kujirekebisha maana vinginevyo wananchi hatutakubali wao waendelee kufaidika kwa kutumia viongozi wetu huku wananchi walio wengi wanaendelea kuteseka.
 
Mwafrika wa K....., umeandika kitu muhimu sana hapao juu. Kwa kweli kuna swali liliwahi kuulizwa nadhani kwenye huu ukumbi kwamba kuna wahindi (hao hao, waasia) wangapi kwenye jeshi, polisi, nk.

Kinachotokea ni kwamba kuna nchi za kiafrika kama yetu (mfano Malawi) nilikuta askari wa cheo kidogo tu akiwa ni Muhindi. Huyu pamoja na uzawa am sure pia ni Mmalawi (hapo nitakubali). Lakini hapa kwetu Bongo hawa waasia nawaona zaidi kwenye ufisadi jamani hivyo lazima tutoe ka-small lesson on this. Kama walivyosema wengine, sina uchungu/bifu na waasia lakini toka nakua mpaka sasa wao ndio wapo kwenye mambo ya kiaina aina tu so napata uchungu na ninatamani kuwakata shingo si utani. Jamni mmeona hiyo picha ya Gembe hapo juu. Kama kichwa changu kipo sawa hilo tangazo lilikuwa wakati flani nadhani ni pale Shoppers plaza. Sasa kama wadosi (waaasia wote sawa) wamefikia hapo sasa kwa nini na sisi tusiseme:
1. Kugombea ubunge lazima uwe na asili ya KiAfrika,
2. Kwenda shule za serikali
3. Kuwa na mali na kufanya kazi serikalini vivo vivo??

Unajua tutake tusitake haohao wanaotupiga mabao ndio wa kwanza kukimbilia Ulaya na nchi jirani wakati wa uchaguzi.

Hivi bottom line ni kwamba kuna ile issue ya dual citizenship, hawa waasia mbona wana kuwa na uraia wa nje na wa nyumbani hawaambiwi kitu (yale tuliyosoma on Jeetu Patel na wenzake), au sheria hii ni ya waMalawi wafanyakazi wa ndani tu??

Is this a constitutional issue au Bunge, oooops kumbe tunao weengi kule kwenye ule ukumbi wa Dodoma kwa tiketi ya chama tawala...... Si utani!!!!!
 
Kwangu mimi fisadi ni fisadi tu. Sidhani kama kutumia maneno kama mafisadi wa Ki-Asia ni jambo la busara. Hivi tofauti ya fisadi mwenye rangi ya ngozi nyeupe au njano anatofautiana vipi na fisadi mwenye rangi ya ngozi nyeusi wakati matendo yao yanafanana? Tukianza na mafisadi wenye asili ya Ki-Asia hatutaishia hapo...bali tutaendelea na kusaka mafisadi wa kutoka kanda ya ziwa, mara mafisadi wa kisukuma, wa kichaga, wa kinyaturu, wa kimakua.....na mwisho wake tutaishia kuchinjana chinjana kama baadhi ya majirani zetu. Bottom line: fisadi ni fisadi tu liwe la Kibuzwagi, la Kimasai au La Ki-Asia. Mimi nayachukia mafisadi yote kwa usawa na nguvu zangu zote.
 
...this is pure ignorance na JF is above this BS,hizi politics za kutumia color/ethinicity/tribe or any targeted group hazina maana na mnaonekana loosers tuu na hakuna achievement yeyote mtapata zaidi ya kujenga hate & insecurity btn the good people of Tanazania,no any justification ya hicho mnachotaka kufanya zaidi ya akili zenu za idd Amin ya kutumia simple stupid approach kushughulikia matatizo serious ya nchi,leo umeanza na waasia mafisadi kesho vipi tuanze na wachaga mafisadi then wasukuma na wamasai mafisadi then what?na kwa taarifa yako mafisadi hawana kabila wala rangi na chuki haitasaidia kuondoa ufisadi na kwa taarifa yako ujue humu kuna waasia wengi sana na wachangiaji wazuri tuu na wanachukia ufisadi kuliko wewe unayejiona mzalendo kutokana na rangi yako nyeusi ...nachukia ubaguzi wa aina yeyote with a passion.
 
Back
Top Bottom