Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niombe msamaa mkuu sijawai kuwa CCM japo Magu nilikuwa namwelewa kiasi chakePengine ndio mwenyewe
okay, sorry mkuu nimekuelewa sasa. Njoo kanisani chap nikupe baraka zako na kukufanyia maombiI mean huyo uliyemtaja mkuu sijamaanisha wewe sorry
hongera mkuu[emoji1][emoji1][emoji1534] niko namizia ibada ya kugawa upako
Kwa hiyo wakiolewa hawawezi tena kuingia humu! Au adhma yao ya kuwepo humu imeshatimia so hawana mda na jf tena?Nadhani wengine ni wafu bila kujulikana
Wengine wamebadili ID
Wengine wameleft kwa sababu mbalimbali
Wengine hawajulikani walipo
Wengine wameolewa