Tetesi: Rolls Royce la Diamond liko njiani kutua Dar punde

bora yawepo na tanzania sio wakina rick ross peke yao
 
Bado Mchuma haujafika tu? Mwaka unaenda wa pili huu au meli imekwama baharini?
 
Bado Mchuma haujafika tu? Mwaka unaenda wa pili huu au meli imekwama baharini?
Naona umeamua kufukua makaburi?

Siku zote nasema na nitaendelea kusema kuwa, kinachomuweka kwenye chat mond ni hizi show off za uwongo ili aendelee kutamkwa vinywani mwa watu. Na wala sio muziki wake. Ndio maana inambidi kila wakati ajitahidi kutafuta vitu, watu maarufu kumzidi ili aonekane anafanya nao kazi lengo likiwa ni kupata kick na sio kujifunza vitu au kufanya muziki mzuri
 
Mwaka wa nne huu.
 
Diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…