pangu pakav
Member
- Jul 30, 2015
- 21
- 19
Lije tu simba noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ID Yako imereflect kila kitu,loooh!!!Wataalam wa TRA tupigieni hesabu za kodi yetu hapo Bandarini
Shangaa na wewe, yani kuna watu conservative duniani humu,unatafuta pesa unaacha kutumia uwekeze Kwa ajili ya vizazi, hivyo vizazi wape tu elimu, waje kufuja jasho na wao watafute vya kwao.Tatizo ni hilo tu wabongo hamjui kushauri jinsi ya kupata hela ila ni mabingwa wa kushauri mtu akishapata hela yake jinsi ya kutumia. Hivi unajua watu wanatafuta hela ili iweje?
mkuu hv ki sienta n matata ee??mfano mzuri kigari changu Toyota Sienta....teh teh teh
Mtoto hakui kwa mzazi. ..mtoto akitaka moyo wako utampa. ..mafanikio ya mwanao ndiyo furaha yako.Shangaa na wewe, yani kuna watu conservative duniani humu,unatafuta pesa unaacha kutumia uwekeze Kwa ajili ya vizazi, hivyo vizazi wape tu elimu, waje kufuja jasho na wao watafute vya kwao.
Angekuwa na hela angenunua johWewe ushanunua apartments ngapi?
Mno...mafuta ya kupaka tu.mkuu hv ki sienta n matata ee??
La kawaida???? Hata vits hunaMbona lakawaida Sana mkuu, naombeni sifa zake please!
Sasa Ni Miezi Miwili na Siku 7 ROZI ROZI Bado Halijafika Kweli au meli imetekwa na Wasomari??Wadau Tupeni Update Rozi Rozi la Bilioni moja nucta tatu (1.3Bilioni) la Dimond lishaingia? Maana mwezi na siku kama 3 zishapita tangu lisafirishwe,meli uk kuja dsm ni siku 21 tu na clearance siku 3,vipi lishaingia madale au limeshushwa south africa?
Kidoti mbona una waswas sanaInakuja inavutwa au?