jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,404
- 4,973
umeshaambiwa analo kali kuliko hilo ila hataki show off.Vip king kiba nae smeshaagiza mkoko wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeshaambiwa analo kali kuliko hilo ila hataki show off.Vip king kiba nae smeshaagiza mkoko wake?
Unampangia matumizi ya hela yake wewe ni ZARI?wacha uthenge.......appartment kanunue wewe na family yako..Big mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
Albert Bernstein???
Wewe unajua bei ya appartments masaki au unaongea tuu? Nyumba tu hupati chini ya billioni 4.Big mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
Mimi sina tabia hiyo ya usen . ..lakini nakwambia amini usi amini ndiyo hiyo shughuli ninayo fanya . ..hata siku moja siwezi kumshauri mtu kitu ambacho mimi mwenyewe binafsi sikifanyi . ..ninanunua nyingi tu walahi . .... ..kama vitabu vya dini vinavyo shauri . ..Unampangia matumizi ya hela yake wewe ni ZARI?wacha uthenge.......appartment kanunue wewe na family yako..
Hatujuani humu ndani . ...hujui uwezo wangu...waulize kina Fida Hussein au Sultan . ..Wewe unajua bei ya appartments masaki au unaongea tuu? Nyumba tu hupati chini ya billioni 4.
labda wale wataalamu wa bandari kavu. hiyo kitu inatoka jirani tu pale kwa UK.Wataalam wa TRA tupigieni hesabu za kodi yetu hapo Bandarini
behind any successfull man there is a woman
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kweli kabisakupitia uzi huu 95% ya watZ ni wachawi
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ewe usioweka kigari chako bima ole wako uchubue hilo ndinga [emoji28]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]umeshaambiwa analo kali kuliko hilo ila hataki show off.
Kumbe ni Rolls Royce Dawn..nimejichanganya wadau
mkuu, alivyosema mpya alimaanisha ambayo INA 0kmAcha uongo. Japan mark x, crown, ist, na starlet zote bei sawa ila bongo showroom bei tofauti. Kama ushuru sawa mbona bei tofauti
Umesema la kawaida bila kujua sifa zake dah umaskini, magonjwa na ujinga bado ni tatizo suguMbona lakawaida Sana mkuu, naombeni sifa zake please!
Due brother yaaani uliisaka hiyo video from two months ago yaani unamaanisha wiki name Zilizopita au takriban Sikh 60 zilizopitaAli post video like two months ago