Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Albert Bernstein???A fool and his money get a lot of publicity.
Albert Bernstein.
Alaafu service yake inabidi ulipeleke South Africa,hakuna garage yoyote bongo inayo ruhusiwa kuligusaHuwa linaendeshwa kwenye free ways aka flyovers tu. Barabara za Bongo halipiti labda za mwendo kasi. Kuliendesha barabara ya vumbi ni kuliAbuse! Ni made in Europe siyo China wala Japan.
Kweli we differ in priorities. Muziki una mwisho wake na umri unaenda. Angekuwa na plan ya kuwa na viwanda hata vitatu au vi5, na kwa kutumia brand ya jina lake, angepiga hela mpk anakufa. Akicheza anaweza akafulia kimuziki, japo simuombei hilo, na atlast ikabaki story.
Kama ulikua kwny mawazo yangu.
Kwa kawaida ukaagiza gari mpya haina kodi kubwa kama iliyotumikaWataalam wa TRA tupigieni hesabu za kodi yetu hapo Bandarini