Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu Mwenye baraka za Mwenye Enzi Mungu anawaachia urithi mpaka vitukuu vyake . ...ni ushauri tu ndugu yangu . ..tunayajua yote hayo . ..Tatizo ni hilo tu wabongo hamjui kushauri jinsi ya kupata hela ila ni mabingwa wa kushauri mtu akishapata hela yake jinsi ya kutumia. Hivi unajua watu wanatafuta hela ili iweje?
Wewe ushanunua apartments ngapi?Big mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
Hawa Jamaa wanatufanya maboya kwa kiki za kijinga jinga,hakuna sehemu yeyote hao Motors wameandika huo upuuzi kwamba tuna client tz amenunua Rolls Royce.Vipi kiongozi, mbona lugha kali?
Hii gari ngoja ukiiona kwa macho ndo utaitambua aisee......hii anaweza hata kusababisha ajali barabarani maana madereva wengine watakuwa wanaishangaa na kusahau usukani wa magari yao..so we endelea kujipa moyoUmaarufu bwana, gari yenyewe hata mvuto haina kabisa. Kuna magari yanapendeza sana hata kwa kutazama tu kwa macho. Lakini anyway....ni pesa zake, anaamua atakacho mwenyewe.
Wewe kwa kutumia brand yako umepiga hela ngapi? Hebu tujifunze kwako labda kwanzaKweli we differ in priorities. Muziki una mwisho wake na umri unaenda. Angekuwa na plan ya kuwa na viwanda hata vitatu au vi5, na kwa kutumia brand ya jina lake, angepiga hela mpk anakufa. Akicheza anaweza akafulia kimuziki, japo simuombei hilo, na atlast ikabaki story.
Well saidKweli we differ in priorities. Muziki una mwisho wake na umri unaenda. Angekuwa na plan ya kuwa na viwanda hata vitatu au vi5, na kwa kutumia brand ya jina lake, angepiga hela mpk anakufa. Akicheza anaweza akafulia kimuziki, japo simuombei hilo, na atlast ikabaki story.
braza we sijui una apartment ngapi hapa town ?Big mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
Ali post video like two months agoMbona nimeangalia kwenye acc yake insta sijaona hizo posts
Unatakiwa ufanye unachotaka sio kusikiliza watu.Big mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
Kama ulikua kwny mawazo yangu.Big mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
Chukua chibukuKweli we differ in priorities. Muziki una mwisho wake na umri unaenda. Angekuwa na plan ya kuwa na viwanda hata vitatu au vi5, na kwa kutumia brand ya jina lake, angepiga hela mpk anakufa. Akicheza anaweza akafulia kimuziki, japo simuombei hilo, na atlast ikabaki story.
Haina mvuto kwa macho yako.. Kwani hata bugatti, Ferrari hazina mvuto mvuto kabisa.Umaarufu bwana, gari yenyewe hata mvuto haina kabisa. Kuna magari yanapendeza sana hata kwa kutazama tu kwa macho. Lakini anyway....ni pesa zake, anaamua atakacho mwenyewe.