Tetesi: Rolls Royce la Diamond liko njiani kutua Dar punde

Sina account Instagram kiongozi,Achana na speculation ndugu Fanya kazi,Siwezi kutishika kwa Diomond kusema kwamba kanunua Rolls Royce ila iwe kweli na sio promo za kukikisha kokoro.
Kwako ukweli utakuwa upi,ukiona anaendesha au ..........??
 
Unajitekenya afu unacheka mwenyewe kazi ipo kwl kwl
 
Hamna chuki hata kidogo,Kuna watu wanapesa za kutosha,Diamond bado hajafikia kiwango cha kuwa tajiri,ana hela ya kula na kujenga sehemu ya kuweka ubavu na kununua vitoyo vya kutembelea na kuhonga senti tano kina tunda na mabeto.
Na wewe una nini?
 
Ongera zake huyu mondi Ana akili sana ila angelisoma asingelikua na akili ya kupata pesa kama anavyopata
 
Atakuwa team Kiba King kong III maana siyo kwa mapovu hayo6
 
Kula matunda ya jasho lako si kitu kibaya kibaya kutafuta kwa mgongo wa mwenzio afu ukajiona mbora kumbe li tutusaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona lakawaida Sana mkuu, naombeni sifa zake please!
Huwa linaendeshwa kwenye free ways aka flyovers tu. Barabara za Bongo halipiti labda za mwendo kasi. Kuliendesha barabara ya vumbi ni kuliAbuse! Ni made in Europe siyo China wala Japan.
 
Huwa linaendeshwa kwenye free ways aka flyovers tu. Barabara za Bongo halipiti labda za mwendo kasi. Kuliendesha barabara ya vumbi ni kuliAbuse! Ni made in Europe siyo China wala Japan.
Mhhh kwa hiyo hili Phantom la blue linalokatiza Mikocheni ni barabara ya Nebraska ?
 
Mkuu masikini daima hana mawazo ya kijinga
 
Newline ina folower 179 i dont think kama gar zao ni zauwakika anyway. Ujitume upost hata kavits kako. Uache ukik
 
Kawaida tu, Diamond sasaivi anisumbui kichwa changu ikiwa Views Ananunua Alafu najisifia kutazamwa na Watu wengi YouTube Aliyakuwa unajua Unanunua VIEWS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…