Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Ukishafanya maamuzi ya kununua gari kama hiyo hata kodi isn't a big deal. Italipwa tuu. Wengi tunashindwa kununua vitu vizuri si kwa sababu hatuna uwezo Bali in umasikini WA mawazo. Kununua kitu kizuri inabidi kwanza ubadilishe mindset hata kabla ya kuiangalia wallet.