Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
lina fanana na the beast analotumia Obama-pia halipitishi risasiMbona lakawaida Sana mkuu, naombeni sifa zake please!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lina fanana na the beast analotumia Obama-pia halipitishi risasiMbona lakawaida Sana mkuu, naombeni sifa zake please!
Shida ya makala za hivyo watakao nielewa sio wa kivile ni hawa wenzangu na mimi kina Dina na mwajei[emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseee una vituko sana.
Jaribu mkuu,huenda watakuelewa.
Huyu naye hakujua kama yangekuja kuwa hivi...[emoji12]
Kiki Za Kingese Sana hizi.
Shida ya makala za hivyo watakao nielewa sio wa kivile ni hawa wenzangu na mimi kina Dina na mwajei
Mimi nataka wa aina yako
Ila sio kesi Mkuu ngoja nitafute njia nyingine ya kutokea
Niwatakie kila la kheri
Kwa nini umuonye mtu ambaye katafuta pesa kivyake? Hebu tumia busara zako kuwaonya vijana waliokaa vijiweni uwape mbinu za kupata hela.. Siyo unakurupuka. Kuwapangia matumizi watu wenye pesa zao wakati hukuwapa mbinu za kusaidia kuzipata.
duuh n shiiidaaah
Wala vumbi hao...😀😀😀😀😀😀
Mbona leo watu mnakuwa wakali namna hiyo?Kama lengo lako ulitaka tu Google hata hii habari itoe hapa ili tuka Google huko
[emoji23][emoji23][emoji23]twende google umenifurahishaaKama lengo lako ulitaka tu Google hata hii habari itoe hapa ili tuka Google huko