Rolls Royce ya Diamond ni fake au Real?

Rolls Royce ya Diamond ni fake au Real?

Hivi unawezaje kutengeneza Rolls-Royce fake na ukaweka kila kitu cha Rolls-Royce kuanzia nje mpk ndani?nimeamini nyani hata ukimvalisha nguo hawezi kufikiri kama mwanadamu kisa umemvalisha nguo za binadamu watanzania ni moja ya watu wenye roho mbaya sana na wivu wa kijinga sana

Yule chizi wa kike tulitegemea kuwa kwake US kwa kipindi kirefu kidogo anaweza kuadopt japo akili kidogo kumbe kavalishwa nguo tu akili zake bado zinawaza kupanda miti na kula ndizi tu
Mkuu nakubaliana na wewe kwa asilimia 100% watz wengi tumejawa na wivu,roho mbaya na husda za laana..achilia mbali ushamba wa karne unao tufanya tuonekane washamba grade A.

Ivi kweli ni mtu gani anaweza kutengeneza RR copy in and out na RR Wenyewe wakamwacha salama? Au ndo mambo ya coka ya USA na Africa hazifanani ladha?.

Ivi kweli Mtu awe na uwezo wa kutengeneza RR tutoe benefit of doubt RR owners wamekua wajinga waka ruhusu mtu acopy. Uyu mtu ni mjinga kiasi gani cha kushindwa kuja na brand yake aende kukocopy brand ya watu kila kitu wakati ana uwezo tayari wa kutengeneza gari lake? Yani ni sawa na TOYOTA V8 zingeitwa Rolls Royce kitu ambacho hakipo na hakito kuja kutokea.


Nilicho jifunza kwenye hili ni Watanzania wengi ni washamba mno kisa wameona ile badge wataalam wa magar wanakiita "the Spirit of Ecstasy" ni cheusi basi wakasema ni copy kwasababu wameona kuna rangi nyingine kama ya gray ivi kind a metalic one. Kumbe ile badge ni nyeusi kwasababu ndo wenyewe wameamua iwe ivyo ndo maana gari linaitwa "RR Cullinan Black Badge 2021"
Mtanzania kisa kaona cheusi basi ni copy.

Shame on You all mlio sema gari ni Copy ile sio Tecno.
 
Muda sio mrefu nimeingia kwenye account ya YouTube ya jamaa mmoja anaitwa "FRANK HOLLAND AUTOMOTIVE" nimeona gari kama ile ile ya diamond, Rolls Royce cullinan, rangi ile ile na badge ile ile.

Huyu jamaa ni official dealer wa Rolls Royce na anatambulika,yupo nchini Canada,ingia kwenye hii link



Hapo ndio nimeamini kuwa wabongo wameshikiliwa akili zao na Mange kimambi.Roho ya wivu wa kina Mwijaku h-baba na Mange kimambi imeshawaambukiza watanzania wengi na wao wakaamini kuwa Diamond hawezi kuwa na kitu ambacho wasanii wakubwa kama Davido n.k wanacho.

Hizi picha nime screen shot kwenye video inayoonesha moja ya magari yaliyopo kwenye yard ya Frank Holland,moja wapo ndio hiyo Rolls-Royce cullinan.View attachment 1854766View attachment 1854768View attachment 1854769View attachment 1854770View attachment 1854772View attachment 1854773View attachment 1854774View attachment 1854775View attachment 1854776

unaelewa ulichoandika mkuu
 
20210719_180825.jpg
 
Gari kali sana Ile wasiopenda mafanikio yake wanateseka sana, Mbaya zaidi iko moja tu hapa Dar kama sio afrika mashariki na kati! !bilioni 1.5 ni pesa ndefu sana kwa mtanzania wa kawaida hawez miliki iyo gari kabisa...na hata wenye pesa ni mmoja katika 100 ndio anaweza inunua
 
Diamond mwenyewe kasemaje Kwani..!!!
 
$382k ni sawa na Tshs.878,600,000 kwa rate ya sasa!

Hio gari kuipitisha TPA lazma ilipiwe kodi na kodi za magari za sasa nyingi ni 80% to 110% ya bei ya manunuzi! Tuchukue tu 80% ya bei ya manunuzi sababu gari ni latest.
878,600,000x80 % =702,880,000

Sum up: 878,600,000+702,880,000

Amount ni 1.58B sasa hapo kilichodanganywa ni kitu gani!
Umeenda kwenye TRA calculator ukakuta hiyo kodi!?

Lile gari sio jipya. Hizo bei zilizowekwa pale ni za gari Brand New.

Nadhani hatuhitaji mjadala kujua kwamba lile gari ni jipya ama lah.
 
Umeenda kwenye TRA calculator ukakuta hiyo kodi!?

Lile gari sio jipya. Hizo bei zilizowekwa pale ni za gari Brand New.

Nadhani hatuhitaji mjadala kujua kwamba lile gari ni jipya ama lah.
Gari hata iwe mtumba! Tafuta gari ya 2018 hata prado tu kisha kokotoa kodi uone kama haiji 80%-110% ya bei ulionunulia huko nje! Kikokotoo chenu ni kichaa kile!

Yani gari ya $55,000 utakuta kodi yake ni $57,000 likiwa ndogo sana utakuta kodi ya $50,000

kwanza huku kote mbali sana tuchukulie IST tu ya mwaka 2010 hio kuagiza ni kama 10.3M na ushuru ni 8.3M! Ukiangalia uwiano wa kodi na bei ni kama 80% ya CIF utailipa kama kodi! Hio ni gari ya 2010 tu! Mtumba
 
Gari hata iwe mtumba! Tafuta gari ya 2018 hata prado tu kisha kokotoa kodi uone kama haiji 80%-110% ya bei ulionunulia huko nje! Kikokotoo chenu ni kichaa kile!

Yani gari ya $55,000 utakuta kodi yake ni $57,000 likiwa ndogo sana utakuta kodi ya $50,000

kwanza huku kote mbali sana tuchukulie IST tu ya mwaka 2018
Unatafuta ban?
 
Umeenda kwenye TRA calculator ukakuta hiyo kodi!?

Lile gari sio jipya. Hizo bei zilizowekwa pale ni za gari Brand New.

Nadhani hatuhitaji mjadala kujua kwamba lile gari ni jipya ama lah.
We ulijuaje sio Jipya au ulikuwa nae Dubai akilipia
 
Back
Top Bottom