Msanii Roma anaeunda kundi la ROSTAM amefungiwa kutokujihusisha na sanaa kwa muda wa miezi sita ikiwa ni kama adhabu ya yeye kutokutii agizo la baraza la sanaa tanzania (BASATA) la kufungiwa kwa nyimbo yake ya KIBAMIA akiwa na Stamina wakimshirikisha Maua Sama!
Your browser is not able to display this video.
Nyimbo hio ilifungiwa mapema jana tarehe 28/02 na kumtaka ROMA kubadilisha maudhui ya nyimbo hio.....!Nyimbo zingine zilizofungiwa ni pamoja na
1.Hallelujah ya Diamond.
2.Waka ya Diamond.
3.Hakuna Ushemeji ya Man Fongo.
4.Pale kati ya Nay.
5.Chura ya Snura
6.Nampa Papa ya Giggy money
7.Bongo bahati mbaya ya Young Dee na zingine 7!!!
KUTII KIVIPI? yeye ana studio ya matangazo tuseme bado anaucheza huo wimbo? Kama hana hela ya kufanya hayo marekebisho akaamua aachane na huo wimbo sabababu ishafungiwa kuna kosa hapo?... Aisee hii serikali ya sasa inahamasisha machafuko aki.
KUTII KIVIPI? yeye ana studio ya matangazo tuseme bado anaucheza huo wimbo? Kama hana hela ya kufanya hayo marekebisho akaamua aachane na huo wimbo sabababu ishafungiwa kuna kosa hapo?... Aisee hii serikali ya sasa inahamasisha machafuko aki.
KUTII KIVIPI? yeye ana studio ya matangazo tuseme bado anaucheza huo wimbo? Kama hana hela ya kufanya hayo marekebisho akaamua aachane na huo wimbo sabababu ishafungiwa kuna kosa hapo?... Aisee hii serikali ya sasa inahamasisha machafuko aki.
Msanii Roma anaeunda kundi la ROSTAM amefungiwa kutokujihusisha na sanaa kwa muda wa miezi sita ikiwa ni kama adhabu ya yeye kutokutii agizo la baraza la sanaa tanzania (BASATA) la kufungiwa kwa nyimbo yake ya KIBAMIA akiwa na Stamina wakimshirikisha Maua Sama!
Nyimbo hio ilifungiwa mapema jana tarehe 28/02 na kumtaka ROMA kubadilisha maudhui ya nyimbo hio.....!Nyimbo zingine zilizofungiwa ni pamoja na
1.Hallelujah ya Diamond.
2.Waka ya Diamond.
3.Hakuna Ushemeji ya Man Fongo.
4.Pale kati ya Nay.
5.Chura ya Snura
6.Nampa Papa ya Giggy money
7.Bongo bahati mbaya ya Young Dee na zingine 7!!!
Msanii Roma anaeunda kundi la ROSTAM amefungiwa kutokujihusisha na sanaa kwa muda wa miezi sita ikiwa ni kama adhabu ya yeye kutokutii agizo la baraza la sanaa tanzania (BASATA) la kufungiwa kwa nyimbo yake ya KIBAMIA akiwa na Stamina wakimshirikisha Maua Sama!
Nyimbo hio ilifungiwa mapema jana tarehe 28/02 na kumtaka ROMA kubadilisha maudhui ya nyimbo hio.....!Nyimbo zingine zilizofungiwa ni pamoja na
1.Hallelujah ya Diamond.
2.Waka ya Diamond.
3.Hakuna Ushemeji ya Man Fongo.
4.Pale kati ya Nay.
5.Chura ya Snura
6.Nampa Papa ya Giggy money
7.Bongo bahati mbaya ya Young Dee na zingine 7!!!
Nimeona kwenye list yao ya jana,wameifungia nyimbo ya kibamia ya Abelnago aka Roma mkatoliki, mmhhh sizani kama BASATA, wanasikiliza na kuwafahamu wasanii wa bongo fleva